![](https://www.mzawa.co.tz/wp-content/uploads/2022/08/IMG-20220805-WA0022-1024x742.jpg)
Mheshimiwa Rais atakuwa na ziara ya Kikazi ya siku nne Mkoani Mbeya ambapo atatembelea na kukagua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi katika wilaya tofauti Mkoani Mbeya.
![](https://www.mzawa.co.tz/wp-content/uploads/2022/08/IMG-20220805-WA0023-1024x696.jpg)
Picha na Eliud Rwechungura – OR TAMISEMI
Mheshimiwa Rais atakuwa na ziara ya Kikazi ya siku nne Mkoani Mbeya ambapo atatembelea na kukagua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi katika wilaya tofauti Mkoani Mbeya.
Picha na Eliud Rwechungura – OR TAMISEMI