WAZIRI SANGU: BONDE LA ZIWA RUKWA NI HAZINA YA AJIRA KWA VIJANA
Mbunge wa Jimbo la Kwela na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi,Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akizungumza na wananchi wa...
ECSA- HC YATOA SHILINGI MILIONI 211 KUFANIKISHA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA TANZANIA.
Jumuiya ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA-HC), kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Tanzania na wadau mbalimbali, imeandaa kambi...
MASAUNI: UWEKEZAJI UZINGATIE SHERIA ZA MAZINGIRA
Na; Mwandishi Wetu
Kibaha
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi HamadYussuf Masauni amewataka wawekezaji katika sekta ya viwanda kuzingatia uwekezaji unaofuata taratibu na sheria ya Mazingira.
Masauni...
SANGU: WALIOFUJA FEDHA ZA SHULE MFINGA WAFIKISHWE MAHAKAMANI
Na: Mwandishi Wetu, Kwela
Mbunge wa Jimbo la Kwela ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe....
WAZIRI KAKURWA ATOA MWELEKEO WA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYABIASHARA WA MIFUGO
-Awahimiza kuimarisha umoja wao-Aahidi kuziwasilisha hoja kwa wizara na taasisi husika
Daudi Nyingo – DAR ES SALAAM
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru...
PROF. KIPANYULA: MBIO ZA MANDELA ZINAFUNGUA FURSA ZA SAYANSI KWA WASICHANA
Na.Mwandishi Wetu
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela ( NM- AIST) inatumia mbio za marathon kama moja ya mikakati ya kupata...
UANAGENZI UTAWATOA VIJANA KIMAISHA: WAZIRI SANGU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akifuatilia maelezo ya Kijana Mnufaika wa Mafunzo ya Uanagenzi...
MASAUNI: UHIFADHI WA UDONGO NI MSINGI WA MAENDELEO ENDELEVU
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea...
BODI YA NISHATI VIJIJINI YARIDHISHWA NA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA GEREZA LA...
Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeridhishwa na hatua, ubunifu na kasi ya mageuzi yanayotekelezwa na Gereza la Manyoni, mkoani Singida, katika kuachana na nishati...
REA YAONDOA GIZA KITONGOJI CHA SIMANJIRO, FURAHA YATAWALA
-Wananchi wapongeza, waeleza matumaini ya ajira na maendeleo
SINGIDA-Wananchi wa Kitongoji cha Simanjiro, Kijiji cha Maweni wilayani Manyoni, wameushukuru Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa...













