MRADI WA BILIONI 3.8 WAKAGULIWA KATA YA KWEMBE
Kwembe, Ubungo
Ziara ya kukagua maendeleo ya mradi utakaozinduliwa na Mwenge imefanyika katika Shule ya Sekondari Barbro Johanson iliyopo ndani ya Kata ya Kwembe. Mradi...
MAMLAKA YAKAMATA BASI LENYE MIRUNGI KILO 101.2, WASIMAMIZI WA HOSTELI NA WENGINE 77 WAKITIWA...
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata basi la abiria aina ya Yutong linalomilikiwa na kampuni ya Abood, lenye namba...
TBS KUHAKIKISHA MATUMIZI BORA NA SALAMA YA NISHATI NCHINI , WAANDAA VIWANGO VYA UFANISI.
Na Mwandishi Wetu.
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kuchukua hatua madhubuti katika kuhakikisha matumizi bora na salama ya nishati nchini kwa kuandaa viwango vya...
TUME NA WADAU KUJADILI VIPAUMBE 6 VYA FYDP KWA KINA
Serikali itahakikisha vipaumbele vya Mpango wa Nne wa Maendeleo wa Miaka Mitano (FYDP IV) vinaakisi uhalisia wa mchango wa Sekta Binafsi, inayotarajiwa kuchangia takribani...
PROF MKENDA ATANGAZA FURSA ZA UFADHILI KWA PROGRAMU ZA UZAMILI KATIKA SAYANSI YA DATA...
▪︎ Asisitiza Vijana kuomba udahili na ufadhili*
▪︎ Asisitiza Uwazi na Ushindani*
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ametangaza rasmi kutolewa kwa ufadhili...
WAZIRI KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA 13 WA KAMATI TENDAJI YA SHIRIKISHO LA MAMLAKA ZA...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza wakati akifungua Mkutano wa 13 wa...









