MABALOZI WASTAAFU KUONGEZA NGUVU KATIKA KUIMARISHA DEMOKRASIA YA NCHI
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeanza kuweka utaratibu wa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka kwa Mabalozi Wastaafu...
PROF. CHANDE AKAGUA JENGO LA VIWANGO HOUSE DODOMA
Na Mwandishi Wetu - Dodoma
Mwenyekiti wa bodi ya Shirika la viwango Tanzania (TBS), Prof. Othman Chande Othman leo Aprili 15,2026 amekagua maendeleo ya ujenzi...
WAZIRI SANGU: RAIS SAMIA AWEZESHA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII KUWA HIMILIVU
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu akitoa ufafanuzi kwa Waheshimiwa Wabunge, wakati akichangia mjadala wa...
SERIKALI YAPOKEA HOJA YA DK. JAFO YA AJIRA ZA ‘PART-TIME’ KWA VIJANA
Na MWANDISHI WETU
SERIKALI imepokea rasmi hoja ya ajira za muda (part-time) kwa vijana iliyowasilishwa na Mbunge wa Kisarawe, Dk. Selemani Jafo, na kuanza mchakato...
VIJANA WAONGOZA KURASIMISHA BIASHARA TANZANIA
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Leseni (BRELA) Bw Godfrey Nyaisa,akitoa ufafanuzi kwa Madiwani wa Halmashauri ya Dodoma wakati wa mafunzo kwa...
MPANGO WA MKOA WA AFYA MOJA WAANDALIWA TANGA
Mpango wa Afya Moja kwa mkoa wa Tanga umeendelea kuandaliwa ukiwa na lengo la kuainisha Afua mbalimbali za kuboresha uratibu wa utekelezaji wa Dhana...
TTCL YAZINDUA KITUO CHA FTTX KIJITONYAMA, YALENGA KUBORESHA HUDUMA KWA WATEJA
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Moremi Marwa, amesema uzinduzi wa Kituo cha Kijitonyama cha FTTX Experience Center ni sehemu ya utekelezaji...
HATUA MPYA PANGANI! USAMBAZAJI WA MITUNGI YA GESI YA RUZUKU WAANZA RASMI
Wilaya ya Pangani mkoani Tanga imepiga hatua muhimu katika kuboresha maisha ya wananchi wake kupitia utambulisho wa mradi wa uuzaji na usambazaji wa mitungi...











