NAIBU WAZIRI MKUU DOTO BITEKO ATOA MAELEKEZO EWURA KUHUSU BEI YA MAFUTA KUPANDA
Na Magrethy Katengu
Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti huduma za Nishati na MajinEWURA imesema itahakikisha inashughulikia kwa haraka changamoto zinazopelekea uhaba wa mafuta nchini unahimilika...
DIT WASHIRIKI MAONESHO YA KONGAMANO LA 20 LA WAHANDISI NCHINI
Taasisi ya Teknolojia Dar Es Salaam inashiriki Maonesho ya Kongamano la 20 ya Wahandisi Nchini ( 20th Annual Engineers Day 2023 ) yanayoendelea katika...
Madereva watakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani
Koplo Rehema Makalla kitengo cha elimu ya usalama barabarani wilaya ya Nyamagana Mkoa wa Mwanza amewataka madereva wa vyombo vya moto kuzingatia sheria za...
MASHABIKI WA YANGA MUSOMA MJINI WAANZA SAFARI KUELEKEA RWANDA
Na Shomari Binda-Musoma
WANACHAMA na mashabiki wa timu ya Yanga tawi la Musoma mjini wameanza safari mchana wa leo kuelekea Kigari nchini Rwanda kuishangilia timu...
TBS YAWATAKA WAZALISHAJI WA MABATI KUZALISHA MABATI YENYE VIWANGO VINAVYOTAKIWA
SHIRIKA la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wa Mabati nchini kuzalisha mabati kwa mujibu wa viwango ili kuepuka usumbufu na gharama zisizo za lazima.
Akizungumza na...
Mitungi ya gesi 400 itatolewa kwa Wajasiriamali wilaya ya Ilemela
MITUNGI ya gesi 400 itatolewa kwa kina Mama wajasiriamali wa Jimbo la Ilemela na Mbunge wao ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya...
WANA FAINALI MSIMU ULIOPITA NYASHO FC NA MAKOKO FC KUCHEZA ROBO FAINALI MATHAYO CUP...
Na Shomari Binda-Musoma
TIMU 2 zilixocheza fainali msimu uliopita wa Mathayo Cup,Nyasho fc na Makoko fc,zinakutana kesho kwenye robo fainali ya mwisho ya mashindano hayo.
Mshindi...
DKT DOTO BITEKO ; WATANZANIA WANATAKA UMEME WA UHAKIKA WA UMEME USIOKATIKAKATIKA
Na Magrethy Katengu
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko aliagiza Shirika la Umeme Tanesco kuhakikisha Watanzania wote wanafikiwa...











