WENYE MASHAKA AU WASIWASI NA DIRA (MITA) ZA MAJI WAENDE WAKALA WA VIPIMO (WMA)...
Wenye mashaka au wasiwasi na dira (mita) yake ya maji anakaribishwa kituo cha uhakiki wa Vipimo Misugusugu kuhakiki dira hiyo ili ajiridhishe iwapo kiasi...
DKT. SLAA AVULIWA HADHI YA UBALOZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemvua hadhi ya ubalozi Dkt. Wilbroad Peter Slaa kuanzia leo septemba 1,...
MWANACHUO ASHINDA MILIONI MOJA YA TIGO CHA WOTE KIRAHISII
Na Mwandishi Wetu.
Ana Juma Mabibi , mwanachuo ni miongoni mwa washindi wa Milioni Moja ambayo itamsaidia kutimiza mahitaji yake muhimu ya chuo na kufanya...
BULAYA AGUSWA NA TATIZO LA FEDHA ZA WASTAAFU NA UHAMISHO ZA ASKARI POLISI
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa viti maalum mkoa wa Mara, Ester Bulaya amesema kuna tatizo la wastaafu na uhamisho kwa askari wa jeshi la polisi...
BRELA yatumia Maonesho ya 18 Biashara ya Afrika Mashariki kukuza Uwekezaji wa biashara Mwanza
Afisa Habari wa wakala wa usajili Biashara na Leseni (BRELA) Gloria Mbilimonyo amesema kutokana na ukuaji wa Viwanda katika Jiji la Mwanza kupitia Maonesho...









