MADIWANI BUKOBA WANOLEWA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA MMMAM KWA WATOTO.
Na Theophilida Felician Kagera.
Ikiwa ni juhudi za kuendeleza kasi ya utekelezaji wa mpango wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto hapa nchini...
ORYX GASI WAUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI KUTHIBITI UKATAJI MITI KWA KUGAWA MITUNGI 3600...
Na Scolastica Msewa
Mitungi ya majiko ya gasi ya Kampuni ya Oryx 3600 imegaiwa kwa Wananchi wa mkoa wa Pwani ikiwa ni mpango wa Kampuni...
MBUNGE MATHAYO KUTOA USHIRIKIANO KWA JESHI LA POLISI KUIMARISHA USALAMA
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Msthayo amesema ataendelea kushirikiana na jeshi la polisi mkoani Mara ili kuimalisha usalama.
Kauli hiyo ameitoa...
GEITA KINARA UZALISHAJI DHAHABU
2017- 2023 Kiasi cha kilogram 111,533.93 zimezalishwa
Leseni 803 za uchimbaji mdogo zatolewa
Mkoa wa Geita umetajwa kuwa kinara wa uzalishaji wa Madini ya dhahabu yanayochimbwa...







