Home 2022
Yearly Archives: 2022
SERIKALI YAZIDI KUIHAKIKISHIA USHIRIKIANO SEKTA BINAFSI
Naibu Waziri wa Uwekezaji,Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe (Mb) amesema Serikali inathamini mchango wa sekta binafsi katika kuwekeza na itaendelea kushirikiana nayo ili wananchi...
OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KUKAMILIKA 2023, DODOMA
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu Bwa. Kaspar Mmuya amepongeza maendeleo ya ujenzi wa ofisi za msajili wa...
VIJANA WAMETAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KUHAMASISHA ZOEZI LA SENSA
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Taifa Kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Kenani Kiongosi amewataka vijana kuhamasisha zoezi la sensa na kutoa elimu ili...
NEC WAPITISHA MAPENDEKEZO YA BIMA YA AFYA KWA WOTE
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo tarehe 23 Juni,2022 wamepitisha kwa kishindo mapendekezo ya Bima ya Afya kwa wote nchini.
Wajumbe hao...
NDALICHAKO: SERIKALI INATAMBUA MCHANGO WA SEKTA BINAFSI KATIKA UCHUMI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi,Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako ameeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na...
WAZIRI MKUU MAJALIWA KUFANYA ZIARA MAALUM MKOA WA ARUSHA NA TANGA LEO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 23, 2022 atafanya ziara ya siku moja katika mkoa wa Arusha na Tanga ambapo atashuhudia zoezi la awamu...
MAKAMU WA RAIS OTHMAN AZINDUA TAMASHA LA ZIFF2022
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), itatengeneza na kusimamia Sera ya Filamu...
RC MAKALLA: WAKANDARASI WA TAKA, MAWAKALA NA WATUMISHI 19 JIJI LA DSM WATAKIWA KUREJESHA...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa muda wa siku 60 kwa Wakandarasi wa taka, Wakala wa ukusanyaji mapato na...
MAAFISA UGANI MANISPAA YA KIGAMBONI WAJENGEWA UWEZO UTEKELEZAJI KIPINDI CHA II MPANGO WA TASAF
TASAF wameanza mafunzo ya siku tatu ya kuwajengea maafisa Ugani kuhusu uendeshaji wa Warsha za jamii,ufanisi wa malipo,masharti ya elimu/afya na majukumu ya kamati...
SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA, ELIMU NA AFYA – MSOMERA HANDENI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amesema Serikali imetenga na kupeleka shilingi miliomi 503.4...













