Friday, July 10, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

KATIBU TAWALA ARUSHA APONGEZA MATUMIZI YA MFUMO WA SCADA KATIKA KUDHIBITI UPOTEVU WA MAFUTA

0
Dodoma Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dkt. Toba Nguvila, amepongeza matumizi ya mfumo wa kisasa wa Supervisory Control and Data Acquisition (SCADA) unaotumiwa na...

WANANCHI WAASWA KUWA MAKINI DHIDI YA BIDHAA BANDIA SOKONI

0
Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) imeendelea kuimarisha kampeni ya utoaji elimu kwa umma kuhusu madhara ya biashara ya bidhaa bandia, ikisisitiza kuwa utengenezaji, usambazaji...

MAFANIKIO YA TANZANIA KUFIKISHA UMEME VIJIJINI YAWAVUTIA REA ZAMBIA KUJA KUJIFUNZA

0
Mafanikio makubwa ya Tanzania katika usambazaji wa umeme Vijijini yameifanya kuwa kivutio cha kujifunza kwa baadhi ya nchi Barani Afrika, baada ya Wakala wa...

TBS YAAHIDI KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA, YAWAKARIBISHA WANANCHI MAONESHONI

0
Meneja wa Shirika  la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Kati, Hamisi Sudi Mwanasala,akizungumza na waandishi wa habari katika banda la TBS wakati wa  Maonesho...

TBS KANDA MAALUM YA DAR ES SALAAM WATEKETEZA TANI 110 ZA BIDHAA ZA RANGI...

0
Na Mwandishi Wetu. SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda Maalum ya Dar Es Salaam limeteketeza tani 110 za bidhaa hafifu na zilizopigwa marufuku zenye thamani...

TEA YATAKIWA KUONGEZA ELIMU KWA UMMA KUHUSU FURSA ZA MFUKO WA ELIMU WA TAIFA

0
Dodoma – Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imetakiwa kuongeza juhudi katika kutoa elimu kwa umma na wadau mbalimbali kuhusu namna Mfuko wa Elimu wa...

MKUU WA TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES SALAAM ( DIT ) AWATAKA WATUMISHI...

0
Na Mwandishi Wetu. Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Profesa Preksedis Marco Ndomba, amewataka watumishi wa taasisi hiyo kuanza kutekeleza kikamilifu taratibu...

WAFUGAJI WAKOSHWA NA MPANGO WA STAKABADHI ZA GHALA SEKTA YA MIFUGO

0
Na Mwandishi Wetu WAFUGAJI nchini wamefurahishwa na mpango wa matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwenye sekta ya mifugo wakidai kuwa utaleta manufaa makubwa...

PERTERMS YAIBUKA MSHINDI JUKWAA LA KIMATAIFA LA UTAWALA BORA.

0
Katika hatua inayoonyesha kuongezeka kwa mchango wa wataalamu wa Kitanzania katika majukwaa ya Kimataifa kampeni ya Perterms Consultancy Limited imetangazwa mshindi wa mchango wa...

TANZANIA YAPATA SH. BILIONI 60.7 KUBORESHA HUDUMA ZA MAJI

0
Na.Alex Sonna-DODOMA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini mkataba wa msaada wenye thamani ya Euro milioni 20, sawa na Shilingi bilioni 60.7, kutoka...