Home 2026
Yearly Archives: 2026
DKT. MSONDE: TBA NI KITOVU CHA FURSA ZA UWEKEZAJI KUPITIA MIRADI YA UBIA (PPP)
Na.Mwandishi Wetu.
Serikali imewataka wawekezaji binafsi na taasisi mbalimbali nchini kutumia fursa zinazotolewa kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuwekeza katika ujenzi wa nyumba, majengo...
TBS KANDA YA MAGHARIBI YATUMIA MAONESHO YA NANE NANE KUWAINUA WAJASIRIAMALI NA BIDHAA ZA...
Na Adery Masta .
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi linaendelea kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi na wajasiriamali katika Maonesho ya Wakulima ya...
TIRDO YAWAKARIBISHA WANANCHI KUJIFUNZA TEKNOLOJIA ZA VIWANDA NANENANE
SHIRIKA la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limesema linaendelea kuwasaidia wakulima na wajasiriamali kuongeza thamani ya mazao, kupunguza gharama za uzalishaji na...
WAKAGUZI WA MAFUTA WAIMARISHA UDHIBITI WA UBORA WAKATI WA UPAKUAJI
Serikali, kupitia Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), inasimamia upakuaji wa shehena za mafuta kutoka melini hadi kwenye maghala ya kuhifadhia mafuta, ili...
WAMILIKI VITUO VYA KULEA WATOTO WAHIMIZWA KUWEKEZA KWA WALEZI WENYE TAALUMA
Na Mwandishi Wetu
WAMIKI wa vituo vya kulelea watoto nchini wamehimizwa kuwekeza katika mafunzo ya kitaalamu kwa walezi ili kuboresha ubora wa huduma za malezi...
SERIKALI KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI KUDHIBITI TAKA ZA PLASTIKI.
Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha kunakuwa na uwiano kati ya udhibiti wa taka za plastiki, ulinzi wa mazingira na ukuaji wa sekta...
WAZIRI SANGU:WAKULIMA NA WAFUGAJI LIWALE DUMISHENI AMANI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu (wa pili kutoka kushoto) akizungumza na wananchi wa Wilaya ya...
TBA YAFUNGUA FURSA MPYA ZA UWEKEZAJI KATIKA MAKAZI NA MAJENGO YA BIASHARA
Meneja wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mkoa wa Dodoma, QS Emmanuel Wambura,akizungumza kwenye banda la TBA katika Maonesho ya 49 ya Kilimo ya...
RUZUKU YA SERIKALI YAPUNGUZA GHARAMA ZA MBOLEA KWA WAKULIMA
Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza...
PASTEL, VICHEKO NA SERENGETI PREMIUM APPLE: NDANI YA SHEREHE KUBWA YA MARAFIKI DAR ES...
Urafiki wa kweli ulipata nafasi ya kuadhimishwa kwa namna ya kipekee wakati wanawake kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam walipokutana katika...













