Home 2026
Yearly Archives: 2026
MFUMO WA SCADA WAIMARISHA UDHIBITI WA MAFUTA NCHINI
Na Mwandishi Wetu, DodomaMfumo wa Supervisory Control and Data Acquisition (SCADA) yameimarisha udhibiti wa upotevu wa mafuta wakati wa shughuli za ushushaji kutoka melini...
WAKALA WA VIPIMO WAELEZA TIBA YA GESI PUNGUFU
Na.WMA-DODOMA
WANANCHI wametakiwa kuhakikisha wanapima mitungi ya gesi kabla ya kuinunua ili kujiridhisha kuwa wanapata kipimo cha gesi kinacholingana na fedha wanazolipa, huku wafanyabiashara wote...
PBPA YATOA ELIMU KUHUSU MFUMO WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unasimamia Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, ambao umeisaidia Serikali kuhakikisha bidhaa za mafuta...
MAKAMU WA RAIS DKT. NCHIMBI ASISITIZA UWEKEZAJI KATIKA MNYORORO WA THAMANI WA KILIMO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ametembelea Banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB)...
WAZIRI SANGU: BANDARI YA UVUVI KILWA MASOKO KUFUNGUA FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Clement Sangu akikagua maeneo mbalimbali katika Bandari ya Uvuvi...
INCLUSIVE MWALIMU GALA 2026 YAIBUA MIKAKATI YA KUFIKIA DIRA 2050
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafadh Ameir, amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake wanataaluma katika kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo...
TGNP YAWAPA WANAWAKE WA VIJIJINI FURSA YA KUJIFUNZA NA KUNUFAIKA NANE NANE
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Nzuguni jijini Dodoma, yamekuwa jukwaa...
MKURUGENZI WAMBUYA ATEMBELEA BANDA LA WRRB NANE NANE
Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Needpeace Wambuya, amepongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi ya...
MKURUGENZI WAMBUYA ATEMBELEA BANDA LA WMA NANE NANE
Na WMA - DODOMA.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Bw. Needpeace Wambuya leo Agosti 2, 2026 ametembelea banda la...
DC TABORA, KIGOMA, WAITAKA EWURA KUONGEZA HAMASA NISHATI SAFI, VITUO VYA MAFUTA VIJIJINI
Meneja wa EWURA Kanda ya Magahribi, Mha. Karim Ally (kulia) akimweleza Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Mh. Upendo Wella (kushoto), Mamlaka inavyoendelea kutoa elimu...













