Friday, July 10, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

TBS YAJIPANGA KIDIGITALI, YAIMARISHA MAABARA KWA SOKO LA DUNIA

0
Na.Alex Sonna-DODOMA Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limepongezwa kwa mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, huku likitakiwa kuendelea kwenda sambamba...

WAZIRI SANGU: SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA TAASISI ZA DINI KATIKA KUJENGA AMANI NA MAENDELEO...

0
SERIKALI imeendelea kuthamini mchango mkubwa unaotolewa na taasisi za kidini nchini katika kuimarisha amani, mshikamano na maendeleo ya taifa. Amesema hayo Waziri wa Nchi Ofisi...

WRRB YAFUNGUA UKURASA MPYA KWA WAFUGAJI KUPITIA STAKABADHI ZA GHALA

0
Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko...

MADEREVA WANAOSAFIRISHA KEMIKALI WAZINGATIE MAFUNZO

0
NA Oscar Nkembo Msimamizi wa Dawati la Ukaguzi wa Kemikali wa Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Ofisi ya Kanda ya Kati, Suitbert...

NEMC YACHOCHEA UWAJIBIKAJI JUMUISHI: SEKTA YA MAZINGIRA 

0
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linaendelea kuhimiza ushiriki wa wadau mbalimbali katika uhifadhi na usimamizi wa mazingira, likieleza kuwa...

WALIPAKODI MCHIKICHINI WAPONGEZWA KWA MCHANGO WAO KATIKA MIAKA 30 YA MAFANIKIO YA TRA

0
Kariakoo, 18 Juni, 2026 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Kariakoo imewapongeza walipakodi wa eneo la Mchikichini kwa mchango wao mkubwa ambao umekuwa...

WAAJIRI WANAOZINGATIA SHERIA ZA KAZI WAPONGEZWA

0
Na OWM-KAM, Mwanza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus Sangu, amepongeza waajiri nchini wanaotekeleza wajibu wao kwa kuzingatia...

SERA YA MNYORORO WA UGAVI KULETA UFANISI NA THAMANI YA FEDHA ZA UMMA

0
Serikali imeanza kutumia Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi ya Mwaka 2025, hatua inayolenga kufungamanisha na kuboresha usimamizi wa shughuli za...

MKURUGENZI WA UCHAGUZI APONGEZA UFANISI NA UWAZI WA MFUMO WA UAGIZAJI MAFUTA KWA PAMOJA

0
Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhan Kailima, amepongeza ufanisi na uwazi wa Mfumo wa Uagizaji Mafuta...

TANZANIA HAINA MGONJWA WA EBOLA, ULINZI WA AFYA WAIMARISHWA

0
Tanzania inaendelea kuwa salama dhidi ya ugonjwa wa Ebola, huku Serikali ikisisitiza kuwa hakuna mgonjwa aliyethibitishwa kuwa na maambukizi hayo nchini. Mamlaka za afya...