Friday, July 10, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

WAZIRI SANGU AWATAKA WAAJIRI NCHINI KUTEKELEZA DIRA 2050

0
Na: OWM – KAM, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu amewataka waajiri nchini kuzingatia...

KCMC YAPATA TIBA MIONZI: SERIKALI YAWEKEZA BILIONI 5.5 KUSOGEZA HUDUMA ZA SARATANI KARIBU NA...

0
Na John Mapepele, WAF – Kilimanjaro Tanzania imeandika ukurasa mpya katika mapambano dhidi ya saratani baada ya Serikali kuzindua rasmi Jengo la Tiba Mionzi katika...

REA ZAMBIA YAPONGEZA UBORA WA MIRADI YA UMEME VIJIJINI TANZANIA

0
Mamlaka ya Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia yapongeza utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

SERIKALI NA BENKI YA UWEKEZAJI YA ULAYA WAHARAKISHA MIKATABA YA MIRADI YA MAJI NA...

0
Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB) zimekubaliana kuharakisha hatua za kukamilisha mikataba ya ufadhili wa Mradi wa Maji...

RC DODOMA: HALMASHAURI ZIENDANE NA KASI YA WAWEKEZAJI KUCHOCHEA UCHUMI

0
Na.Alex Sonna-DODOMA Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua rasmi ofisi za kampuni ya Landmax Real Estate Company Limited na kuzitaka Halmashauri pamoja na...

WRRB YAANZA KUTEKELEZA MAAGIZO YA WAZIRI MKUU KUONGEZA UFANISI WA STAKABADHI ZA GHALA

0
Bodi ya Usimamizi wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza rasmi utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ya kuimarisha...

DAWASA YAANIKA MIKAKATI YA UBORESHAJI WA HUDUMA YA MAJI HALMASHAURI YA CHALINZE

0
Meneja wa Mkoa wa Chalinze wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Boniface Philemon, amesema mamlaka hiyo inaendelea...

TASAC na ZMA Waongeza Juhudi za Kusimamia Haki na Usalama wa Mabaharia

0
Na Mwandishi Wetu, Kigoma Serikali imesema itaendelea kuchukua hatua madhubuti za kisera na kiutendaji ili kuboresha ustawi wa mabaharia nchini, ikiwa ni pamoja na kulinda...

CHAPATI FESTIVAL KUFANYIKA NCHI NZIMA

0
Na Boniface Gideon, TANGA Waandaaji wa mashindano makubwa ya kupika chapati mkoani Tanga maarufu kama 'CHAPATI FESTIVAL' msimu wa pili, Tanga Treasure Network pamoja na...

EWURA YAFUNGUA FURSA MPYA ZA BIASHARA YA MAFUTA VIJIJINI

0
Na Alex Sonna– Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu haki na wajibu wao katika...