Home 2026
Yearly Archives: 2026
CHANDE AIPONGEZA WRRB KWA KUWAWEZESHA WAKULIMA KUFIKIA MASOKO
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ameipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa mchango wake katika kuwawezesha wakulima...
MFUMO WA M+2 WAIMARISHA UHAKIKA WA MAFUTA NCHINI
DODOMA
Mfumo wa kuagiza mafuta kwa ajili ya matumizi ya miezi miwili inayofuata umeiwezesha Tanzania kuendelea kuwa na bidhaa za mafuta za kutosha, licha ya...
DKT. SIMBEYE: WALIMU BORA NDIO MSINGI WA ELIMU YENYE UBORA
Mkurugenzi wa Uthibiti Ubora wa Shule, Dkt. Ephraim Simbeye,akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha Wakuu wa Vyuo vya Ualimu vya Serikali na visivyo vya...
CHANDE AWATAKA WAKULIMA KUTUMIA ELIMU YA FCC KUONGEZA THAMANI YA MAZAO
Serikali imewataka wakulima, wafugaji, wavuvi na wajasiriamali nchini kutumia elimu ya ushindani wa haki na ulinzi wa mlaji kama nyenzo ya kuongeza thamani ya...
RAIS SAMIA,MUSEVEN WASHUHUDIA MAKUBALIANO YA TRILIONI 56 KUIFANYA TANGA KITUO KIKUU CHA NISHATI YA...
Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan na Yoweri Museveni wa Uganda wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano...
SANGU: SERIKALI ITAENDELEA KUSIKILIZA NA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAZEE
Na.OWM (KAM), Lindi
Serikali imesema itaendelea kutambua na kuthamini mchango wa wazee katika kujenga jamii yenye amani, umoja na mshikamano wa kitaifa.
Amesema hayo Waziri wa...
WAJASIRIAMALI KUTOKA PEMBA WATEMBELEA BANDA LA WMA NANE NANE, WAPATA ELIMU YA VIPIMO
Na WMA - DODOMA.
Wajasiriamali wa kikundi cha Hapa Kazi kutoka Shehia ya Mtemani Wingwi, Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba wametembelea banda la...
BRELA YATOA ELIMU YA URASIMISHAJI BIASHARA NA USAJILI WA ALAMA ZA BIASHARA NA HUDUMA...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umewataka vijana wanaoshiriki mpango wa Kujenga kesho bora (Building a Better Tomorrow (BBT)...
CHANDE AVUTIWA NA MAFANIKIO YA TADB KWENYE KILIMO
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea...
WMA YAWAFUNDISHA WATOTO VIPIMO: NAIBU WAZIRI MALIASILI APONGEZA
Na WMA - DODOMA.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika...













