Home 2026
Yearly Archives: 2026
NAIBU WAZIRI WANU AWASILISHA RANDAMA ZA BAJETI 2026/2027 BUNGENI
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidhi Ameir, leo Mei 6, 2026, amewasilisha Bungeni jijini Dodoma randama za Makadirio ya Mapato...
SEKTA BINAFSI INAVYOLETA MAPINDUZI KATIKA MCHEZO WA KUOGELEA KWA KUWANOA BURE MAKOCHA WAZAWA
Kocha maarufu kutoka Marekani, Austin Pillado ambaye pia ni Naibu Kocha Mkuu wa timu ya kuogelea kutoka Chuo Washington State (katikati) akiwa ameshika bendera...
WATUMIAJI WA VILAINISHI VYA MAFUTA WATAHADHARISHWA KUHUSU BIDHAA FEKI
Na Boniface Gideon, Tanga
Watumiaji wa vilainishi vya mafuta nchini wametakiwa kuwa waangalifu wanaponunua bidhaa hizo kutokana na uwepo wa bidhaa feki sokoni. Tahadhari hiyo...
RC SHINYANGA AWAAALIKA WANANCHI KUPATA MSAADA WA KISHERIA BURE
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, amewataka wananchi wa mkoa huo kujitokeza kupata huduma za msaada wa kisheria zitakazoanza kutolewa kuanzia tarehe...
HANDENI MJI YAPIGA HATUA KUDHIBITI UTAPIAMLO KWA WATOTO
*Watoto wanaolazwa wapungua kutoka 32 hadi 7 kwa robo mwaka
Na Augusta Njoji
IDADI ya watoto wanaokabiliwa na utapiamlo mkali katika Halmashauri ya Mji Handeni imepungua...
WAANDISHI WA HABARI WANAWAKE YANGA WATOA MSAADA HOSPITALI YA BOMBO
Na Boniface Gideon, Tanga
Waandishi wa habari wanawake kutoka vyombo mbalimbali mkoani Tanga leo wametoa msaada wa vitu mbalimbali katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa...
SERIKALI YAPUNGUZA GHARAMA ZA MAJIKO BANIFU KWA ASILIMIA 80 KAGERA
Mradi wa usambazaji wa majiko banifu mkoani Kagera unalenga kuongeza matumizi ya nishati safi ya kupikia na kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa, hali...
IRENE LUOGA MFANYAKAZI HODARI TCDC MWAKA 2025/2026
Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imemtangaza Irene Luoga, Afisa Ushirika Mwandamizi kutoka Ofisi ya Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa...
DKT. MWIGULU AAGIZA UJENZI WA BARABARA MUFINDI KUSINI, ASISITIZA AHADI ZA RAIS ZINATEKELEZWA
▪︎ Aagiza TANROADS kumpata mkandarasi ndani ya wiki mbili▪︎ Aelekeza fedha za awali zitolewe mara moja kuanza ujenzi
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameagiza kuanza...
WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA UJENZI WA BARABARA YA MTILI–IFWAGI, AAGIZA KUHARAKISHWA KWA SEHEMU ZILIZOSALIA
▪︎ Asema ujenzi uendelee hadi kukamilisha km 58 zote kwa kiwango cha lami▪︎ Asisitiza kukamilishwa kwa usanifu na upatikanaji wa fedha kwa wakati
Waziri Mkuu,...













