TUZO ZA UBORA 2024 ZAFANA , WAZIRI JAFO ATOA RAI HII KWA WAZALISHAJI WA...
Na Mwandishi Wetu.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Selemani Jafo (Mb) ametoa rai kwa Wazalishaji wa bidhaa Nchini kuweka kipaumbele suala la ubora wa...
AGIZO LA CCM TANGA: BATI ZiLIZOKOSA KUKIDHI VIWANGO VYA TBS KUONDOLEWA HOSPITAL YA PANGANI
Na Ashrack Miraji Mzawa Online
Uongozi wa Wilaya ya Pangani umepokea agizo la kuhakikisha kwamba, bati zote zilizokosa kukidhi viwango vya ubora kutoka Mamlaka...
WAZIRI BASHUNGWA AIAGIZA TANROADS KUFUNGA MIZANI MITATU TUNDUMA , ASHUHUDIA FOLENI YA MALORI.
Na Mwandishi wetu19,Nov, 2024
📌 Ashuhudia foleni kubwa ya Malori Tunduma
📌 Atoa mwezi mmoja ujenzi wa kituo cha maegesho Chimbuya kukamilishwa
📌 Aagiza upembuzi kufanyika ili...
TANZANIA NA UTURUKI KUSHIRIKIANA SEKTA YA MALIASILI NA UTALII
Na Happiness Shayo- Dar es Salaam
Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Uturuki zimekubaliana kushirikiana kukuza Sekta ya Maliasili na Utalii lengo ikiwa...
REA KUSHIRIKIANA NA NJOMBE KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI ZAIDI YA 13,000
📌Kila wilaya kusambaziwa mitungi ya gesi 3,255
📌Elimu ya nishati safi kuendelea kutolewa
📍Njombe
Mkoa wa Njombe umeahidi kushirikiana na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kusambaza...
UJENZI WA MAABARA ZA MASOMO YA SAYANSI WAENDELEA KWA KASI JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI
Na Shomari Binda-Musoma
WANANCHI wa jimbo la Musoma Vijijini wanaendelea kushirikiana na serikali kujenga maabara za masomo ya sayansi kwenye sekondari zao za kata.
Lengo la...
WAZIRI SILAA AWEKA BAYANA MIKAKATI YA KUWEZESHA IDARA YAKE YA HABARI , MAWASILIANO NA...
Na Mwandishi Wetu.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, ameweka wazi mikakati yake ya kuboresha sekta ya habari kupitia ushirikiano wa...