Friday, January 24, 2025
Home 2024 November

Monthly Archives: November 2024

WAHITIMU MWEKA WATAKIWA KUWA WAZALENDO KULINDA RASILIMALI ZA NCHI

0
Na Happiness Shayo- Kilimanjaro Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amewataka Wahitimu wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori MWEKA kuwa...

BIASHARA KATI YA TANZANIA NA CHINA YAFIKIA DOLA BIL. 8.78-MAJALIWA

0
Asema Rais Dkt. Samia anathamini mchango wa China kwenye maendeleo nchini WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na China...

RAIS DKT SAMIA AKISALIMIANA NA BAADHI YA WAKUU WA NCHI WA (EAC)

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na baadhi ya Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika...

MWANAFUNZI WA CHUO ASHINDA MILIONI TANO KUTOKA YAS ( ZAMANI TIGO ), KAMPENI YA...

0
Novemba , 29 , 2024 : Sia Martin Mlay Mwanafunzi wa Chuo Cha Ardhi - Jijini Dar Es Salaam ( katikati ) ni mmoja...

VYAMA VYA SIASA TANGA JIJI VYAPONGEZA MCHAKATO WA UCHAGUZI S/MITAA.

0
Na Boniface Gideon,TANGA Vyama vya Siasa vilivyoshiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa wa Novemba 27 mwaka huu katika Halmashauri ya Jiji la Tanga,vimetoa tamko la...

ENOCK KOOLA AIPONGEZA TAMISEMI KWA USIMAMIZI MZURI WA ZOEZI LA UPIGAJI KURA NCHINI

0
Mwanasiasa na Mfanyabiashara Enock Koola, ambaye ni Mdau wa Maendeleo katika Jimbo la Vunjo, Mkoani Kilimanjaro, amepongeza Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali...

TUME YA USHINDANI YATOA ONYO DHIDI YA MBINU CHAFU KWENYE BIASHARA

0
Tume ya Ushindani (FCC) imedhamiria kutoa elimu kwa Watanzania juu ya namna nzuri ya kufanya biashara pasina kudidimiza sera na taratibu za ushindani za...

WAZIRI KIKWETE: FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA NJE YA NCHI KIPAUMBELE CHA SERIKALI YA...

0
Na Magrethy KatenguDar es salaam Serikali imesema itaendelea inahakikisha inaweka mikakati madhubuti ya kuwawezesha watanzania zaidi ya 1000 kupata fursa ya ajira nje ya nchi Akizungumza...

CCM YATOA SHUKRANI USHINDI WA KISHINDO UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

0
Na Magrethy Katengu Dar es salaam KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla amewashukuru wananchi kwa kukiamini chama hicho...

MAMLAKA ZA USAFIRISHAJI MAJINI BARANI AFRIKA ZATAKIWA KUSHIRIKIANA KUBORESHA HUDUMA

0
📌 Dkt. Biteko afungua Kongamano na Mkutano Mkuu wa 7 wa AAMA 📌 Awataka washiriki kubuni mbinu za kukabili changamoto zilizopo 📌 IMO yaahidi kuendeleza ushirikiano...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma November, 2024 - Mzawa Online,
Karibu Tukuhudumie..