Tuesday, July 14, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

DCEA YATEKETEZA KILO 504.36 ZA HEROIN MTWARA BAADA YA AMRI YA MAHAKAMA

0
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza kilogramu 504.36 za dawa za kulevya aina ya heroin katika kiwanda cha saruji...

KISHINDO CHA TBS VIWANGO MARATHON 2026 , HAYA HAPA MATUKIO YOTE YALIYOJIRI.

0
  Na Mwandishi Wetu. MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uzingatiaji wa viwango katika uzalishaji wa bidhaa na huduma ni msingi muhimu...

TUME YA MADINI YAANZA KUTUMIA MFUMO WA IDRAS KUONGEZA UFANISI, MAPATO

0
Arusha Tume ya Madini imeanza rasmi kutumia Mfumo Jumuishi wa Kodi za Ndani (IDRAS) unaolenga kurahisisha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa utendaji na kuongeza...

MBUNGE SHABIBY AIPONGEZA WMA KWA KULINDA MASLAHI YA WANANCHI NA KUSIMAMIA VIPIMO SAHIHI

0
Mbunge wa Jimbo la Gairo, Ahmed Shabiby, ameupongeza Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) kwa kazi kubwa inayofanya katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma na bidhaa...

KAMISHNA JENERALI LYIMO AKABIDHIWA TUZO YA SHUKRANI

0
Mtandao wa Wamiliki wa Nyumba za Upataji Nafuu nchini, Tanzania Network for Voice of Sober House Tanzania, umemkabidhi tuzo ya shukrani Kamishna Jenerali wa...

KAPINGA: HAKUNA NAFASI KWA BIDHAA BANDIA NCHINI

0
Wizara ya Viwanda na Biashara imeendelea kupambana na bidhaa bandia nchini kupitia operesheni maalum zilizofanywa na Tume ya Ushindani (FCC), ambapo hadi Aprili 2026...

TIRDO YAENDELEA KUTAMBUA FURSA ZA UWEKEZAJI

0
NA EMMANUEL MBATILO, DODOMA Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) imeendelea kuimarisha sekta ya viwanda nchini...

REA YASHIRIKI MBIO ZA MWENGE WANGING’OMBE, YASAMBAZA MITUNGI YA GESI KWA BEI YA RUZUKU

0
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeshiriki katika sherehe za Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2026 zilizofanyika Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe, ambapo umesambaza...

MAUZO YA BIDHAA NJE YAFIKIA DOLA BILIONI 10

0
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema biashara ya Tanzania na mataifa ya nje imeendelea kuimarika huku thamani ya mauzo ya bidhaa nje...

RAIA WA IRAN AHUKUMIWA MIAKA 60 JELA KWA KUSAFIRISHA HEROIN NA METHAMPHETAMINE

0
Raia wa Iran, Jan Mohammed Millan, aliyekuwa nahodha wa jahazi la Al Arab, amehukumiwa kifungo cha jumla ya miaka 60 jela baada ya kupatilana...