KAMATI YA BUNGE YAPITISHA RANDAMA YA BAJETI YA WIZARA YA ELIMU 2026/2027
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepitisha randama ya mpango na makadirio ya bajeti ya matumizi ya kawaida pamoja na...
SAMIA SCHOLARSHIP KUIBUA KIZAZI KIPYA CHA WATAALAMU WA TEKNOLOJIA KIMATAIFA
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imepokea ugeni kutoka Chuo Kikuu cha Limerick cha nchini Ireland , ikiwa ni...





