Sunday, July 12, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

UBUNIFU WA KITANZANIA WAGEUZA TAKA KUWA DHAHABU YA WAFUGAJI

0
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imeendelea kuwaibua na kuwawezesha wabunifu nchini kupitia mafunzo yanayolenga kugeuza ubunifu...

SERIKALI YAZINDUA GRAND CHALLENGES TANZANIA KUCHOCHEA UBUNIFU WA KUTATUA CHANGAMOTO ZA TAIFA

0
SERIKALI imezindua jukwaa jipya la kitaifa la ubunifu litakalowawezesha wanasayansi, watafiti na wabunifu kubuni suluhisho za ndani kwa changamoto zinazoikabili nchi katika sekta za...

WAZIRI SANGU AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA MKUTANO WA 114 ILO

0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akifuatilia agenda zilizokuwa zikijadiliwa katika Mkutano wa 114 wa...

DCEA, VETA KUWAPA UJUZI WARAIBU WALIOPONA ILI WAJITEGEMEE

0
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) zimeingia makubaliano ya ushirikiano...

WAZIRI GWAJIMA KUFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA UWEZESHAJI WA WATU

0
Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISW) kimetangaza kufanyika kwa Kongamano lake la Kwanza la Kimataifa la Uwezeshaji wa Watu na Ustawi wa Jamii, litakalofanyika...

WAZIRI SANGU: SERIKALI KUENDELEA KUKUZA USTAWI WA SEKTA YA KAZI NA USHIRIKIANO KIMATAIFA

0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akisalimiana na Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja...

“NEMC MNAFANYA KAZI NZURI” -NW-TAMISEMI, DKT. SEIF “

0
Ni kauli yake Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), anayeshugulikia Afya, Dkt. Rajabu Seif, alipotembelea banda la...

WAZIRI BASHIRU: USHIRIKIANO WA TANZANIA NA ITALIA UNAENDELEA KULETA MATOKEO CHANYA

0
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Bashiru Ally, amesema Tanzania na Italia zinaendelea kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali za maendeleo, ikiwemo uchumi wa buluu, utalii,...

TBS YASISITIZA UZINGATIAJI WA KANUNI BORA ZA UANDAAJI WA CHAKULA , KUELEKEA MAADHIMISHO YA...

0
Na Mwandishi Wetu. SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) kutumia Jukwaa la Biashara la Viwango (Viwango Business Forum) litakalofanyika Juni 5, 2026 katika ukumbi wa Mlimani...

FCC YATOA ELIMU YA ULINZI WA MLAJI KATIKA MBEYA CITY EXPO 2026

0
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Denis Londo, ametembelea banda la Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) katika Maonesho ya Kimataifa ya Mbeya City...