Home 2023
Yearly Archives: 2023
KADA CCM ATOA USHAURi KWA WENYEVITI WA MITAA NCHINI
Na Shomari Binda-Musoma
WENYEVITI wa mitaa nchini wameshauriwa kutumia mikutano yao kutoa elimu ya ufahamu juu ya Katiba ya nchi.
Ushauri huo umetolewa na kada wa...
CCM MWANZA yataka viongozi wasimamie Miradi kwa ukaribu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mwanza kimewataka viongozi wake kuweka juhudi katika kutatua matatizo ya wananchi katika maeneo yao kama inavyosisitizwa na Ilani yake...
WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA MJI WA SERIKALI
*Aagiza ifikapo Oktoba mwaka huu uwe umekamilika
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza kuwa ifikapo Oktoba mwaka huu, mradi wa majengo ya wizara mbalimbali unaoendelea katika...
KATIBU MKUU NISHATI ASISITIZA GST KUFANYA UTAFITI ZAIDI
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba amesisitiza Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuendelea kufanya tafiti zaidi ikiwemo kuongeza...
MABASI YATOAYO HUDUMA YA USAFIRISHAJI ABIRIA MIKOANI YARUHUSIWA KUSAFIRI MASAA 24
Na Magrethy Katengu
Mabasi yanayotoa huduma ya usafirishaji abiria kwenda Mikoani yameruhusiwa kusafiri masaa 24 kutokana na hali ya Ulinzi na usalama kuboreshwa barabarani kote...
LATRA YAFUNGIA RATIBA YA MABASI YA NEW FORCE KUSAFIRI USIKU
Na Magrethy Katengu
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imefuta ratiba ya awali ya alfajiri ya mabasi 38 ya kampuni ya New Force Enteprises ambapo...
WAZIRI MKUU: MAFUTA YA KANDA YA KASKAZINI, ZIWA YACHUKULIWE TANGA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Nishati iratibu ununuzi wa mafuta kutoka mikoa ya Kaskazini na Kanda ya Ziwa ili yachukuliwe kutokea Tanga...
SHULE ZA SEKONDARI 19 KUJENGA MAABARA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI
Na Shomari Binda-Musoma
SHULE 19 za sekondari za Kata katika jimbo la Musoma vijijini zinaendelea na ujenzi wa maabara kwaajili ya ugundishaji wa masomo ya...
WANAFUNZI BARA, VISIWANI WASHIRIKI KONGAMANO LA SAYANSI TANGA STEM PARK
Na Boniface Gideon, TANGA
ZAIDI ya wanafunzi 60 wa shule Sekondari kutoka katika Mikoa mbalimbali ya Tanzania wameshiriki kikamilifu Kongamano la saba la sayansi na...
ONE MAP AFRICA WAOMBA USHIRIKIANO KWA SERIKALI , KUWEZESHA FURSA ZA AJIRA NA UWEKEZAJI...
https://www.youtube.com/embed/MLBvjb9M17A
Mwanzilishi wa Kampuni ya ONE MAP AFRICA Bwn. Joseph John Ng'wandu ( katikati ) katika picha ya pamoja na Mchekeshaji Maarufu Nchini JK COMEDIAN...













