Home 2023
Yearly Archives: 2023
JINSI YA KUPATA SIMU ZA MKOPO KUTOKA TIGO NA SAMSUNG , A04 na A04s
Na Adery Masta.
Tigo na Samsung wanakukaribisha kwenye banda lao katika Viwanja vya saba saba ili ujipatie huduma na zawadi kibao ikiwemo SIMU ZA MKOPO...
WIKI MBILI TU : WASHINDI WA MAMILIONI KAMPENI YA TIGO CHA WOTE WAFIKIA 4494...
https://www.youtube.com/embed/i29t4nNChpk
Na Mwandishi Wetu.
Ikiwa ni Takribani wiki mbili sasa tangu kampuni ya Mawasiliano ya Tigo izindue Kampeni yake ya CHA WOTE yenye lengo la kuwasaidia...
PURA YACHIMBA VISIMA 96 KATI YA HIVYO 44 VYAPATIKANA NA GESI
Na Magrethy Katengu
MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) umesema katika tafiti zao hadi sasa wamegundua futi za ujazo Trilioni 57.54 za...
SEKTA YA MADINI IMECHANGIA ASILIMIA 56 MAUZO YA BIDHAA NJE YA NCHI
Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo, amesema kuwa mchango wa Sekta ya Madini katika kuliingizia Taifa fedha za kigeni umekuwa...
TUMIENI MAONESHO YA SABASABA KUFUNGUA FURSA KIMATAIFA – MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa rai kwa wafanyabishara nchini kutumia maonesho ya kibiashara ya kimataifa ya sabasaba sambamba na fursa za makampuni ya kigeni...
DIWANI MWANDARA AZUNGUMZIA MIAKA 2 YA MAFANIKIO KATA YA BWERI
Na Shomari Binda-Musoma
DIWANI wa Kata ya Bweri, Dickson Mwandara, amesema yapo mafanikio makubwa ya miradi ya maendeleo iliyofanyika Kata ya Bweri kwenye kipindi cha...
GGML KUTUMIA SHILINGI BILIONI 6 UJENZI UWANJA WA MPIRA GEITA
-Kukamilika kwake kuhamasisha shughuli za Michezo
-Timu mbalimbali zikiwemo Simba, Yanga, Azam FC, na nyingine kuutumia uwanja huo
Imeezwa kuwa, Mradi wa Ujenzi wa Uwanja wa...
TIGO YAENDELEA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTEKELEZA MKAKATI WA USAJILI WA WATOTO CHINI YA UMRI...
Na Adery Masta
Tangu kuzinduliwa kwa mpango wa usajili wa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano ukiwa ni mkakati muhimu ulioanzishwa na Serikali...
Infinix NOTE 30 YASHUSHWA BEI MSIMU HUU WA SABASABA ( + VIDEO )
https://www.youtube.com/embed/o1K_kwpIp9Q
INAKUJA NA OFA: "Simu hii aina ya Infinix NOTE 30 inakuja na Ofa ya GB 96 bureee kutoka TIGO za kutumia mwaka mzima, ikiwa...
SERIKALI IPO KATIKA HATUA ZA MWISHO ZA KUKAMILISHA SERA YA TEHAMA
Naibu katibu mkuu wa wizara ya habari mawasiliano na tekmolojia ya Habari selestine Kakele amesema serikali ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha mapitio...













