Home 2026
Yearly Archives: 2026
WAZIRI KIKWETE:ZINGATIENI MAADILI YA UTENDAJI, DHAMANA YENU NI KUBWA KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wanataaluma ya Menejimenti ya Taarifa,...
TBS WASHIRIKI MAONESHO YA BAIOTEKNOLOJIA COSTECH DAR ES SALAAM .
Na Mwandishi Wetu.
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeshiriki katika Maonesho ya Baioteknolojia yaliyofanyika katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH),...
WATEJA 11940 KUUNGANISHWA NA UMEME MKOANI MARA
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Mtambi amezitaka Kamati za Ulinzi na Usalama pamoja na Wananchi kuhakikisha wanalinda miundombinu ya umeme pamoja...
TEKNOLOJIA YA AI: MWANGA MPYA KWA HUDUMA BORA ZA UMMA
Serikali imetangaza rasmi kuanza kwa matumizi ya Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) katika utumishi wa umma, hatua inayotajwa kuwa mapinduzi makubwa katika kuboresha utoaji...
UMIKIDO WASHIRIKI MKUTANO MKUU WA MWAKA WA VYOMBO VYA UTANGAZAJI
Umoja wa Vyombo vya Habari vya Mitandao ya Kijamii Mkoa wa Dodoma (UMIKIDO) umeshiriki Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji nchini.
Mkutano huo...
BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA ELIMU LAWEKA MIKAKATI YA UTEKELEZAJI ENDELEVU
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda, leo Februari 12, 2026, amefungua rasmi Baraza la 36 la Wafanyakazi wa Wizara hiyo...
BoT YAPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA FEDHA KAMA SHADA LA MAUA
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bw. Emmanuel Tutuba, amewaonya wananchi wanaozifunga fedha kama shada la maua kwa ajili ya zawadi kwa wapendwa...
NGASONGWA: TUNAJENGA SOKO LA SARUJI LENYE USHINDANI WA HAKI
Kaimu Mkurugenzi Mkuu FCC Bi. Khadija Ngasongwa, akitoa maelezo kuhusu wajibu wa FCC kwenye kusimamia ushindani na kumlinda mlaji wakati wa kikao kazi na...
TAFITI ZATAJWA KUWA NGUZO MUHIMU KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO
Na WAF - Dar es Salaam
Imeelezwa kuwa tafiti ni nguzo kuu katika kuimarisha maandalizi na uwezo wa kukabiliana na magonjwa ya milipuko nchini pamoja...
WAZIRI MKENDA ATAKA ONGEZEKO LA WANAWAKE NA WASICHANA KATIKA TAALUMA ZA SAYANSI
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia,Prof. Adolf Mkenda,akizungumza wakati wa hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi yaliyofanyika...













