Sunday, March 22, 2026
Home 2026 February

Monthly Archives: February 2026

REA YABORESHA MAISHA MKOANI TANGA

0
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeendelea kuthibitisha kwa vitendo nia yake ya kujali na kuthamini wananchi kwa kuhakikisha inafikisha huduma nafuu ya umeme kwenye...

TBS WAANZISHA KLABU ZA VIWANGO MASHULENI ” TBS VIWANGO KLABU “, WALENGA KUFIKISHA ELIMU...

0
 Na Mwandishi Wetu. Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeanzisha Klabu ya Viwango itakayowahusisha wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kwa lengo la kuwajengea uelewa...

MUUZAJI MISHIKAKI DAR AMESHINDA BODA BODA YA KAMPENI

0
Muuzaji wa mishikaki jijini Dar es Salaam, Bakari Hamisi Bakari, ameshinda boda boda katika droo ya kwanza ya kampeni ya #ShindaBoda inayoendeshwa na PigaBet,...

WATUMISHI WAWE WASAIDIZI WA BIASHARA, SI VIKWAZO

0
Watumishi wa Wizara ya Viwanda na Biashara pamoja na taasisi zinazosimamia sekta hiyo wametakiwa kuhakikisha wanakuwa chachu ya maendeleo ya biashara badala ya kuwa...

WATOTO FOUNDATION YAFANIKIWA KUGAWA MADAFTARI NCHINI

0
Na Boniface Gideon, TANGA Taasisi ya Watoto Foundation yenye makao yake jijini Dar es Salaam, imesema imeanza kutekeleza mradi wake mpya wa Soma na Mama,...

REA YATOA ELIMU YA UMEME MKOANI TANGA

0
Wakala wa nishati vijijini (REA) umeendelea na zoezi la uhamasishaji wananchi kujiunga na huduma ya umeme. Uhamasihaji umefanyika wilayani Pangani ambapo maafisa wa REA na...

WAZIRI MKUU AMALIZA ZIARA TANGA, AAGIZA FAGIO LIPITE MUHEZA

0
* Ahimiza Wakuu wa Wilaya wakasikilize wananchi na kutatua kero zao WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemwagiza Waziri wa Nchi (OWM – TAMISEMI), Prof. Riziki...

REA YAHIMIZA WANANCHI KUJIUNGA NA HUDUMA YA UMEME TANGA

0
Wakala wa nishati vijijini (REA) umepiga kambi Mkoani Tanga kwa ajili ya zoezi la uhamasishaji wananchi kujiunga na huduma ya umeme. Uhamasihaji huo umefanyika katika...

MKENDA: ELIMU YA MSINGI KUPUNGUZWA HADI MIAKA SITA KUANZIA 2027/2028

0
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda,akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo elekezi ya Wathibiti Ubora wa Shule ngazi ya wilaya uliofanyika   wilayani...

MGOMBEA UBUNGE NLD AIKUMBUSHA SERIKALI KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI

0
Na Boniface Gideon, Tanga Aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Tanga katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025 kupitia chama cha National League for Democracy...