Wednesday, May 6, 2026
Home 2023

Yearly Archives: 2023

MBUNGE MATHAYO AKUTANA NA VIJANA 300 ALIOWAWEZESHA MIRADI YA UFUGAJI KUKU

0
Na Shomari Binda-Musoma MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini, Vedastus Mathayo amekutana na VIJANA 300 wa jimbo la Musoma mjini aliowawezesha miradi ya ufugaji kuku. Vijana...

Masomo ya Sayansi toka Shule za awali ni Muhimu

0
Na Neema Kandoro, Mwanza MASOMO ya sayansi yanapaswa kuanza kufundishwa tangu shule za awali ili kujenga misingi mizuri ya wanafunzi kukua wakipenda kujifunza mtaala huo...

SHIVYAWATA WAIPONGEZA SERIKALI KWA JINSI INAVYOENDELEA KUWATAMBUA WATU WENYE ULEMAVU

0
Na Theophilida Felician, Kagera Shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu SHIVYAWATA Halmashauri ya Bukoba Mkoani Kagera kupitia Mwenyekiti wake Jackline Phabiani ametoa pongezi na...

MAMA NA BABA LISHE WA MACHINGWA COMPLEX WAPEWA MITUNGI YA GESI NA NAIBU SPIKA...

0
Magrethy Katengu Serikali imekuwa ikifanya jitihada za dhati kuhakikisha udhibiti wa uharibifu wa mazingira kwa kuwapa elimu wananchi wake kutumia nishati mbadala ya kupiki ikiwemo...

TIGO CHA WOTE YATIMIZA NDOTO YA BINTI HUYU, KUMILIKI BIASHARA YA NDOTO ZAKE

0
Na Mwandishi Wetu.  Joyce Nestor Masaba , Mhitimu wa Chuo Mkazi wa Mbezi Beach Jijini Dar Es Salaam ni miongoni mwa washindi wa Milioni Moja...

MAELFU WAJITOKEZA MAZISHI YA KADA WA CCM MAGORI ZEMBWELA MJINI MUSOMA

0
Na Shomari Binda-Musoma MAELFU ya wakazi wa mji wa Musoma mkoani Mara, miji jirani na nje ya nchi wamehudhuria mazishi ya kada wa CCM na...

TUME YA MADINI YAAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA, MAKUSANYO YA MADUHULI YAFIKIA SHILINGI BILION 678 DODOMA

0
Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo amesema kuwa kutokana na usimamizi mzuri wa Sekta ya Madini katika kipindi cha mwaka...

SERIKALI YAOMBWA KUWASAIDIA WAKULIMA KUPATA MIKOPO

0
Bw. Kawawa Luduko ni Mkulima Maharufu Wa kilimo Cha Pamba Mkoani Geita Kijiji Cha Bukwimba Wilaya ya Nyang'nwale Mkoani ameeleze jinsi  kilimo Cha Pamba ...

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI PROF.MUHONGO UJENZI SHULE SHIKIZI KITONGOJI CHA NYASAENGE

0
Na Shomari Binda-Musoma WANANCHI wa Kitongoji cha Nyasaenge Kijiji cha Kataryo Kata ya Tegeruka,wameishukuru serikali kwa kuendelea kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule. Licha ya...