Sunday, March 22, 2026
Home 2026 February

Monthly Archives: February 2026

DKT.JAFO AWEZESHA ELIMU YA UFUNDI, AKABIDHI VYEREHANI VINNE CHUO CHA FDC KISARAWE-MZENGA

0
Na.Mwandishi Wetu Taasisi ya Jafo Education Foundation imefadhili jumla ya vijana 51 kusoma katika Chuo cha FDC Kisarawe - Mzenga, kwa lengo la kuwawezesha kupata...

ZIARA YA WAZIRI MKUU ARUSHA KUKAGUA MIRADI YA BILIONI 194.2

0
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi mkoani Arusha kuanzia Februari 22 hadi...

DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE MPYA YA SEKONDARI MBATAKERO

0
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la uzinduzi wa Shule ya Sekondari ya Mbatakero iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Hai, mkoani...

MAKAMU WA RAIS BALOZI NCHIMBI AKUTANA NA BALOZI WA QATAR

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania...

WAKULIMA WA PAMBA WASHAURIWA KUACHA KILIMO CHA MAZOEA NA KULIMA KWA TIJA ZAIDI

0
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anamringi Macha,akizungumza  katika Mkutano wa 8 Chama Kikuu Simiyu, SIMCU (2018) LTD, uliofanyika leo Februari 20, 2026 Wilayani...

MBUNGE MAKBEL AWANUFAISHA WANAFUNZI KWA MSAADA WA MADAFTARI TANGA

0
Na Boniface Gideon, Tanga Mbunge wa Jimbo la Tanga, Kassim Amary (Makbel), leo amekabidhi vifaa mbalimbali vya kuwasaidia wanafunzi kujisomea na kujifunzia kwa nadharia na...

SERIKALI KUWEKEZA NGUVU KATIKA KUNDI LA VIJANA

0
Kufuatia serikali kuwekeza nguvu kubwa katika kundi la vijana dhidi ya utoaji wa mikopo, Mbunge wa Jimbo la Musoma Mjini Mgore Miraji Kigera amewataka...

MARUFUKU KILIMO CHA BANGI WILAYA HII TAKATIFU, TUTAWAKAMATA – DC BUTIAMA

0
Mkuu wa Wilaya ya Butiama, Thecla Mkuchika, ameliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwachukulia hatua watu wote wanaojihusisha na kilimo cha bangi wilayani Butiama...

DC BUSEGA AHIMIZA NJIA HALALI ZA UTAJIRI KWA WANANCHI

0
Mkuu wa Wilaya ya Busega, Mhe. Faidha Salim, amewataka wananchi wilayani humo kuacha kutegemea imani za kishirikina katika kupata utajiri, badala yake waelekeze nguvu...

SERIKALI HAITAMVUMILIA MKANDARASI ATAKAYESABABISHA UCHELEWESHAJI WA MIRADI YA UCHUKUZI.

0
Serikali imesema imedhamiria kuharakisha utekelezaji wa miradi ya uchukuzi katika Mkoa wa Kigoma ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kuchochea ukuaji wa uchumi na...