Saturday, July 27, 2024
Home 2024 April 3

Daily Archives: April 3, 2024

WAZIRI MKUU: MAPATO YA NDANI YAFIKIA TRILIONI 17

0
Ahimiza utoaji wa risiti halali za kielektroniki WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kati ya Julai, 2023 na Januari, 2024 Serikali imefanikiwa kukusanya sh. trilioni 17.1...

WAZIRI MKUU: SERIKALI YATUMIA SH. TRILIONI 10 UJENZI WA SGR

0
*Ataja hatua zilizofikiwa kwenye miradi nane ya kielelezo WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetumia sh. trilioni 10.69 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya...

WANANCHI MVOMERO TUTUMIE FURSA HII YA MAADHIMISHO YA AFYA DUNIANI KUCHUNGUZA AFYA ZETU-DC NGULI.

0
Na.Elimu ya Afya kwa Umma. Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro Mhe.Judith Nguli ametoa wito kwa wananchi wa Wilaya hiyo kutumia fursa ya Maadhimisho...

TANZANIA YAPONGEZWA USIMAMIZI RASILIMALI MADINI, MAFUTA NA GESI ASILIA

0
📌Dkt. Biteko akutana na Mwenyekiti wa Bodi ya EITI ya nchini Norway 📌Ushirikiano wa EITI na TEITI kuimarishwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe....

ABIRIA WA USAFIRI WA RELI WAKWAMA SAA 48 MLIMBA.

0
Zaidi ya abiria 500 wanaotumia usafiri wa reli ya Tazara kutoka Makambako mkoani Njombe kuelekea Mkamba wilayani Kilombero wamekwama kwa zaidi ya saa 48...

TANZANIA YASISITIZA UHURU WA BIASHARA NA USALAMA WA NCHI

0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amesema Tanzania inaunga mkono harakati za kuwezesha usafirishaji wa bidhaa kwa huru na...

KIKOMO CHA BEI ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 3 APRILI...

0
KUMB: PPR/2024 - 01/04 TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 3 APRILI 2024 Mamlaka ya Udhibiti wa...

TUHUMA MBALIMBALI KUHUSU MAMLAKA YA HIFADHI YA ENEO LA NGORONGORO

0
Wizara ya Maliasili na Utalii inazo taarifa za madai na tuhuma mbalimbali zinazowahusu Watumishi kadhaa wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro ambazo...

SIMU MOJA ILIYONIPONYA UGONJWA WA KISUKARI

0
Jina langu ni Lulu kutoka Turkana nchini Kenya, hapo awali niliwahi kusumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu sana lakini sikupata suluhisho kwa...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma April 3, 2024,
Karibu Tukuhudumie..