Home 2023
Yearly Archives: 2023
SERIKALI YA RAIS SAMIA IMEENDELEA KUTENGENEZA MAZINGIRA MAZURI KILA MWANANCHI APATE MAENDELEO -KINANA
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana, amesema kuwa jukumu la kujiendeleza ni la mtu binafsi na kwamba hakuna anaeweza kumwendeleza mtu...
MILLARD AYO ALIVYOKABIDHI MAMILIONI KWA WASHINDI WA TIGO CHA WOTE WIKI YA TANO
Na Mwandishi Wetu.
Bi. Indu Bakari Mkundi Mfanyabiashara ya Nguo Mkazi wa Goba Jijini Dar Es Salaam ni miongoni mwa washindi wa Milioni Moja, Kampeni...
WAZIRI PROFESA MKENDA ATOA AGIZO KWA TEWW KUTOA ELIMU ENDELEVU BILA UKOMO
Na Magrethy Katengu
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof Adlof Mkenda a amelitaka Baraza la taasisi ya Elimu ya watu wazima(TEWW) kuhakikisha utoaji wa...
TBS YASHINDA TUZO TAASISI BORA YA UDHIBITI BARANI AFRIKA 2023
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji akipokea Tuzo ya TBS kuwa Taasisi Bora ya Udhibiti kwa Mwaka 2023 kutoka kwa Mwenyekiti wa...
MABONDIA PAMBANO LA BFC MUBASHARA TV3
MABONDIA pambano la Bongo Fighting Championship wakamilisha zoezi la Kupima uzito na Afya zao huku bondia wakike nchini Tanzania afunguka mazito mara baada ya...
WIZARA YA MADINI YASHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA SERIKALI YA URUSI NA NCHI ZA...
#Dkt. Biteko Atangaza Fursa uwekezaji Sekta ya Madini
St. Petersburg – Urusi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amemwakilisha Mhe. Dkt....
MMOJA WA WASHINDI WA MILIONI 5 YA TIGO CHA WOTE APATIKANA ZANZIBAR
WAWEZA KUTAZAMA VIDEO HAPA
https://www.youtube.com/embed/vIV6emBOVzs Ikiwa ni Takribani siku Kadhaa Tangu Kampuni ya Mawasiliano ya Tigo Zantel izindue Kampeni yake CHA WOTE yenye lengo la kuwasaidia...
KINANA: CHAMA KITAISHAURI SERIKALI KUANGALIA UPYA SHERIA YA BODABODA.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaishauri serikali iwasikilize wananchi inapotaka kutengeneza sheria mbalimbali zinazogusa maisha yao ili kupunguza migogoro na kero mbalimbali katika jamii.
Akizungumza...
WANACHAMA WA OMTO WASAINI FOMU KUPATA MITAJI YA IMBEJU ( + VIDEO)
TAZAMA VIDEO HAPA
https://www.youtube.com/embed/lpkdffTNHGI
=Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule ( wa pili kushoto), Meneja Mahusiano wa Benki...
WAZIRI MKUU AALIKA WAWEKEZAJI VIWANDA VYA MBOLEA
*Ashiriki ufunguzi wa Jukwaa la Uchumi
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaalika wawekezaji waliobobea kwenye sekta ya mbolea ili waje kufungua viwanda vya mbolea nchini.
Ametoa mwaliko...













