Rais wa Klabu ya Yanga Eng. Hersi Ally Said kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji wameunda Kamati maalum ya mashindano ya watu 8 ambayo itaongozwa na Mwenyekiti Ndugu Rodgers Gumbo.
Wajumbe wa kamati hiyo ni;-
- Mustapha Himba
- Lucas Mashauri,
- Seif Ahmed,
- Pelegrinus Rutayuga,
- Davis Mosha na
- Majid Sulleiman









