Home Kitaifa CHATANDA APOKEA SALAMU ZA PONGEZI ZA RAIS SAMIA KWA KAZI KUBWA YA...

CHATANDA APOKEA SALAMU ZA PONGEZI ZA RAIS SAMIA KWA KAZI KUBWA YA UJENZI WA MIUNDOMBINU ANAYOIFANYA

📍29 DISEMBA, 2024 – KILOLO, IRINGA

Mwenyekiti wa UWT Taifa Ndg Mary Pius Chatanda (MCC) amepokea salamu za pongezi kutoka kwa wananchi wa Kilolo mkoani Iringa kwa kazi kubwa ya ujenzi wa miundombinu anayoifanya.

Wananchi wa Kilolo mkoani Iringa wamemuomba Chatanda kufikisha salamu za shukrani na pongezi kwa Rais Samia kwa kutatua adha ya usafiri waliyokuwa wakikumbana nayo kwa muda mrefu kufuatia ujenzi wa barabara ya Ipogolo kwenda Kilolo kwa kiwango cha lami.

Aidha, wananchi wa Wilaya ya Kilolo wameahidi kujiandikisha kwa wingi ili kupiga kura za kishindo kwa Rais Samia ifikapo 2025.

uwt imara

wanawake jeshi kubwa

kaziiendelee

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!