Thursday, May 7, 2026
Home 2023

Yearly Archives: 2023

TPDC KUJENGA MIUNDOMBINU YA KUCHAKATA GESI NA KUISAFIRISHA MPAKA DAR ES SALAAM

0
Na Magrethy Katengu Serikali kupitia shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC imeweza kujenga miundombinu ya kuchakata gesi na kusafirisha gesi asilia kutoka Madimba Mtwara...

TANZANIA NA NETHERLANDS ZAJADILI KUENDELEZA USHIRIKIANO

0
Na Benny Mwaipaja, New York Netherlands imeahidi kuendeleza ushirikiano na Tanzania katika nyanja mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo utekelezaji wa miradi ya kimkakati itakayo...

TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA SITA (6) WA KAMATI MAALUM YA MAWAZIRI WA FEDHA, MIPANGO...

0
Na. Joseph Mahumi, WF, Nairobi Tanzania imeshiriki Mkutano wa Sita wa Kamati Maalum ya Mawaziri wa Fedha, Mipango ya kiuchumi na Mtamangano wa Afrika, uliobeba...

MAKAMU WA RAIS MAAGIZO KWA WAZIRI WA KILIMO

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewaasa wananchi wa mkoa wa Njombe pamoja na wakulima kwa ujumla...

DKT. MPANGO AMEWAASA WATANZANIA KUTUMIA FURSA YA MIKUTANO YA KISIASA KUFANYA SIASA ZA KISTAARABU

0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewaasa watanzania kutumia fursa ya mikutano ya kisiasa kufanya siasa za...

Kampeni ya Kili Challenge 2023 kuchochea malengo ya kuzifikia SIFURI TATU-WAZIRI MHAGAMA

0
Na Mathias Canal, Moshi-Kilimanjaro Serikali imeendelea kutenga fedha kwa ajili ya mapambano dhidi ya Virusi Vya UKIMWI ambapo mwaka huu mpya wa fedha wa 2023/2024...

N/WAZIRI NDERIANANGA AGAWA MITUNGI YA GESI ROMBO

0
Na Mathias Canal, Rombo-Kilimanjaro Mbunge wa Viti maalumu Mhe Ummy Nderiananga ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) ameunga...

DAWA ASILIMIA 100 ZAPATIKANA ZAHANATI YA NYAKATO JIMBO LA MUSOMA MJINI

0
Na Shomari Binda-Musoma UPATIKANAJI wa dawa na vifaa tiba kwa ngazi ya zahanati vimeelezwa kupatikana Kata ya Nyakato jimbo la Musoma mjini kwaajili ya huduma...

Watanzania watakiwa kujituma ili kuleta Maendeleo

0
WATANZANIA wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili waweze kupata mafanikio ya kiuchumi kutokana na shughuli wazifanya kwani serikali ya awamu sita imeboresha mazingira mazuri...

WAREMBO 20 MISS TANZANIA WAPAGAWA KISA MERCEDES BENZ 

0
WAREMBO 20 wabaki vinywa wazi mara baada ya kutangazwa rasmi zawadi ya Miss Tanzania   gari aina ya Mercedes benz yenye thamani ya Shilingi Milioni...