Home 2023
Yearly Archives: 2023
RC MTANDA ATAKA UWAJIBIKAJI WA VIONGOZI KUINUA AFUA ZA LISHE
Na Shomari Binda-Musoma
MKUU wa mkoa wa Mara,Said Mtanda, amewataka viongozi katika ngazi za wilaya na mkoa kuwajibika kwenye majukumu yao katika kuinua afua za...
TCB BENKI KUJENGA MATUNDU YA VYOO 18 SHULE YA MSINGI KIKELELWA ILIYOPO ROMBO MKOANI...
Na Mwandishi wetu
Zaidi ya wanafunzi 700 katika shule ya msingi Kikelelwa iliyopo wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro wamesaidiwa kuondokana na changamoto ya hatari ya kuambukizana...
MHE. KAMANI AKABIDHI PIKIPIKI KWA WILAYA 7 MWANZA
Mbunge wa Vijana Mhe. Ng'wasi Damasi Kamani jana tarehe 23 Julai, 2023 alikabidhi pikipiki kwa Wilaya zote 7 za Mkoa wa Mwanza ikiwa ni...
MAJALIWA ATOA SIKU 7 WATENDAJI TARURA, DAWASA KUKAMILISHA BARABARA MUHIMBILI.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapa siku saba Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Dar es Salaam Godfrey Mikinga...
MHE.KIKWETE : TAALUMA YA UUGUZI NI YA KUJITOA NA YENYE UTHUBUTU
Na. Lusungu Helela-Chalinze
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema taaluma ya Uuguzi ni kazi...
USIKIVU WA RAIS DK. SAMIA UNALETA MAFANIKIO MAKUBWA NCHINI – KINANA
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahaman Kinana, amesema mafanikio makubwa yaliyofikiwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka...
MAJALIWA: UTULIVU, AMANI NDIYO NGUZO MUHIMU YA USTAWI WA NCHI YETU
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaasa Watanzania watambue kuwa utulivu, amani, umoja na mshikamano ndiyo nguzo muhimu katika ustawi wa Taifa kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Ametoa...
MBUNGE MATHAYO APIGIA CHAPUO BANDARI YA MUSOMA KUFUFULIWA
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Mathayo amesema bandari ya Musoma ikifufuliwa itainua uchumi wa vijana wa Kata ya Iringo na...
Mhe. Mchengerwa aipongeza Yanga kwa kutangaza Tanzania kimataifa
Na John Mapepele
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa amepongeza Timu ya Yanga kwa kuichakaza Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini kwa bao moja...
SERIKALI KUPUNGUZA UAGIZAJI WA BIDHAA ZA AFYA KUTOKA 80% HADI 50% IFIKAPO 2030.
Na. WAF - Dar es Salaam
Serikali kupitia Wizara ya Afya imedhamiria kupunguza uagizaji wa bidhaa za Afya ikiwemo dawa kutoka zaidi ya asilimia 80...













