Thursday, May 7, 2026
Home 2023

Yearly Archives: 2023

WORLD VISION WATOA MSAADA WA VYAKULA WILAYA MKINGA.

0
Na Boniface Gideon, Tanga Jumla ya Kaya 229 kutoka Vijiji mbalimbali wilayani Mkinga Mkoani Tanga zimepatiwa Msaada wa Chakula kupitia Shirika la World Vision ikiwa...

KINANA ASIFU UZALENDO, UTAIFA WA NYERERE, JENERALI MUSUGURI.

0
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana amezulu kaburi la hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na...

WANANCHI KATA YA BUHARE WASHUKURU KUPATA DARAJA

0
Na Shomari Binda-Musoma WANANCHI wa Kata ya Buhare iliyopo manispaa ya Musoma wameishukuru serikali ya Jamhuri Muungano wa Tanzania kwa ujenzi wa daraja linalowaunganisha Wakizungumza na...

TAASISI ZA ELIMU NA FEDHA ZATAKIWA KUSHIRIKIANA KUPATA SULUHU YA RASILIMALI WATU AFRIKA

0
Na Mwandishi wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema taasisi za kifedha za kikanda na kimataifa hazina...

CHONGOLO KUFANYA MKUTANO WA HADHARA JULAI 29,2023 DAR ES SALAAM

0
Na Magrethy Katengu CHAMA cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Dar es salaam wanatarajia kufanya Mkutano Mkubwa wa hadhara Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe Julai 29...

Dereva aliyesababisha vifo sita kikundi cha Aden Palace akamatwa

0
Jeshi la police mkoani mwanza linamshikilia Oswald kaijage binamungu miaka 39, mhandisi wa umeme katika mgodi wa Geita Gold Mining (GGM)aliyetoroka baada ya kusababisha...

WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS SAMIA URUSI

0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameondoka nchini leo (Jumatatu, Julai 24, 2023) kwenda Urusi ambako atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa Pili...

MAENDELEO YANAYOONEKANA NCHINI NI MAELEKEZO YA ILANI, RAIS SAMIA-KINANA

0
Na Mwandishi Wetu, Babati MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana, amewaomba wana CCM nchi nzima kutambua kuwa kila mema yanayoonekana...

DR.CHAYA: MSIKUBALI UPOTOSHAJI WA WAZUSHI, BANDARI HAIUZWI

0
Mbunge wa Manyoni Mashariki Mhe. Dkt. Pius Chaya amewataka wananchi wake kupuuza upotoshaji unaoendelea mitandaoni kuhusu suala la Bandari na kuzuka kauli za kwamba...

MAKAMU MWENYEKITI CCM TAIFA,ABDULRAHAMAN KINANA KUWASILI MARA KESHO

0
Na Shomari Binda-Musoma MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana, anatarajiwa kuwasili mkoani Mara kesho kufanya ziara ya siku moja. Akizungumza ofisini kwake, Katibu...