Home 2023
Yearly Archives: 2023
MTANDAO MAJI YA BOMBA KUTOKA ZIWA VICTORIA YAENDELEA KUSAMBAZWA MUSOMA VIJIJINI
Na Shomari Binda-Musoma
JIMBO la Musoma Vijijini lenye Kata 21, Vijiji 68 na Vitongoji 374. Vijiji vyote vina miradi ya maji ambayo iko kwenye hatua...
RAIS SAMIA AIPONGEZA WIZARA YA MIFUGO KWA MAENDELEO.
Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameipongeza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kusimamia ipasavyo mpango wa Serikali wa Kuijenga kesho bora...
Shabiki wa Timu ya Simba atumia ‘SIMBA Day’ kutembelea Zahanati
Hii ikiwa ni siku ya kusherekea siku ya Simba (Simba Day) ambayo Kwa Mwaka huu imeadhimishwa Tarehe 6 Hange Masalu ametumia Siku hii ya...
WAKULIMA WANUFAIKA NA SIMU ZA MKOPO KUTOKA TIGO
KAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Tigo imekuja na njia ya kidigitali ya kumrahisishia mkulima kujifunza namna ya uzalishaji wa mazao bora kwa njia...
BONANZA KUBWA LA NANE NANE KUMKARIBISHA RC MTANDA MKOA WA MARA
Na Shomari Binda-Musoma
WANAMICHEZO mkoani Mara,wameandaa bonanza maalum agost 8 siku ya nane nane kumkaribisha mkuu wa mkoa wa Mara,Saidi Mtanda.
Akizungumza na Mzawa Blog,mratibu wa...
TUIAMINI SERIKALI MAKUBALIANO YAKE NA SERIKALI YA DUBAI MKATABA WA DP WORLD
Na Shomari Binda-Musoma
ASKOFU mkuu wa Kanisa la New Life Gospel Community Church (NLGCC) "Bonde la Baraka" Daniel Ouma,amewaomba wananchi kuiamini serikali kwenye mkataba uwekezaji...
Vijana wabunifu waililia Serikali kuwawezesha Mitaji ili watengeneze Majiko sanifu yaliyo rafiki kwa Mazingira
Wakizungumza katika Maonesho ya Nanenane yanaendelea katika Viwanja vya nyamongoro Mkurugezi wa kikundi hicho Bwana Ramadhani Mohamed Sengerema amesema wao kama Vijana Wana Imani...
Kampuni ya Kalwan herbs yaja na Mwarobaini wa wenye Vitambi
Akizungumza Jana jijini msemaji wa kampuni hiyo Bwana Gibuson Benson kuhusu Mwarobaini wa Vitambi Kwa wanaume na Wanawake ambalo limekuwa Tatizo sugu Kwa Watanzania...
Kampuni ya Kalwan herbs yaja na Mwarobaini wa wenye Vitambi
Akizungumza Jana jijini msemaji wa kampuni hiyo Bwana Gibuson Benson kuhusu Mwarobaini wa Vitambi Kwa wanaume na Wanawake ambalo limekuwa Tatizo sugu Kwa Watanzania...
DIWANI MTAMBALIKE AZINDUA OFISI ZA KLABU YA BUNJU MBWENI
VIJANA watakiwa kuwa sehemu ya kuhamasisha desturi ya kufanya Mazoezi na kutumia vizuri mitandao ya Kijamii katika kuhamasisha jamii imashiriki Mazoezi mbalimbali ya viungo.
Diwani...












