Home 2023
Yearly Archives: 2023
WADAU WATAKIWA KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA MALEZI MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA...
Na Shomari Binda-Musoma
WADAU na mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kutenga fedha kwenye bajeti zao kwaajili ya makuzi na malezi ya mtoto.
Kauli hiyo imetolewa na...
MAONESHO YA BIASHARA YA TANGA WOMAN GALA YAZINDULIWA RASMI
Na Shafii Mohammed, TANGA
Maonyesho ya Biashara yanayoshirikisha Wanawake Wajasiriamali maarufu Tanga Woman Gala msimu wa sita yamezinduliwa rasmi ambapo zaidi ya Wafanyabiashara 100 kutoka...
CHANDI MAGIRI KUNOGESHA FAINALI MATHAYO CUP 2024 UWANJA WA MARA SEKONDARI
Na Shomari Binda-Musoma
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mara Patrick Chandi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye fainali ya mashindano ya Mathayo Cup...
BRELA YAWAFURAHISHA WAFANYABIASHARA MAONESHO YA SITA YA MADINI GEITA
Afisa wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni ( BRELA ) Vincent Nyanje ( kulia ) akimkabidhi cheti Cha usajili wa jina la...
BRELA WANOGESHA MAONESHO YA SITA YA MADINI GEITA , MBUNGE KANYASU AWAPONGEZA
Mbunge wa Jimbo la Geita Mhe. Constantine Kanyasu ( Kushoto ) akipokea maelezo kuhusu majukumu ya BRELA kutoka kwa Mkuu wa Sehemu ya Majina...
RASMI VIJANA KUPATIWA FURSA SEKTA YA MADINI
Waziri Mavunde Aainisha Programu ya MBT
Itashirikisha vijana kwa asilimia 100
Asilimia 70 ya fedha za migodi ni manunuzi
Serikali kupitia Wizara ya Madini imeanisha Programu ya...
GST YAENDELEA NA TAFITI ZA MADINI MUHIMU NA MKAKATI
Dkt. Massawe ametoa wito kwa wadau kuitumia GST katika Tafiti za Madini
Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeendelea kufanya utafiti wa...
WANANCHI KISIWA CHA RUKUBA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUANZA KUPOKEA VIFAA TIBA
Na Shomari Binda-Musoma
WANANCHI wa kisiwa cha Rukuba kilichopo jimbo la Musoma vijijini wameishukuru serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuanza kutoa vifaa tiba...
MAVUNDE APONGEZA UWEKEZAJI MAABARA YA MSA GEITA
Inapima Sampuli za Madini kwa Mionzi (PhotoAssay)
Inatoa majibu ndani ya masaa mawili
Asilimia 99.8 ya Wafanyakazi ni Watanzania
Zaidi ya Shilingi Bilioni 5 zimewekezwa katika kampuni...
KAMPUNI YA TUNZAA USHIRIKIANO NA KAMPUNI YA VODACOM KUPITIA M-PESA
Na Magrethy Katengu
Kampuni ya Kitanzania ijulikanayo kama Tunzaa Digitali Holdings Limited imesema itahakikisha inaendelea na ubunifu wa kujikita kutatua changamoto.za tabia za kifedha kwa...













