Tuesday, May 5, 2026
Home 2023

Yearly Archives: 2023

MADIWANI BUKOBA WANOLEWA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA MMMAM KWA WATOTO.

0
Na Theophilida Felician Kagera. Ikiwa ni juhudi za kuendeleza kasi ya utekelezaji wa mpango wa malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto hapa nchini...

ORYX GASI WAUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI KUTHIBITI UKATAJI MITI KWA KUGAWA MITUNGI 3600...

0
Na Scolastica Msewa Mitungi ya majiko ya gasi ya Kampuni ya Oryx 3600 imegaiwa kwa Wananchi wa mkoa wa Pwani ikiwa ni mpango wa Kampuni...

MBUNGE MATHAYO KUTOA USHIRIKIANO KWA JESHI LA POLISI KUIMARISHA USALAMA

0
Na Shomari Binda-Musoma MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Msthayo amesema ataendelea kushirikiana na jeshi la polisi mkoani Mara ili kuimalisha usalama. Kauli hiyo ameitoa...

GEITA KINARA UZALISHAJI DHAHABU

0
2017- 2023 Kiasi cha kilogram 111,533.93 zimezalishwa Leseni 803 za uchimbaji mdogo zatolewa Mkoa wa Geita umetajwa kuwa kinara wa uzalishaji wa Madini ya dhahabu yanayochimbwa...

NDC yajivunia mafanikio yake ndani ya mwaka mmoja

0
Na Magrethy Katengu SHIRIKA la Taifa la Maendeleo (NDC)limesema ndani ya kipindi cha mwaka mmoja linajivunia maendeleo yake kwa kufanikiwa kutekeleza miradi mbalimbali ya kiuchumi...

JESHI LA POLISI MKOANI MARA KUFANYA DORIA YA PAMOJA NA MAKAMPUNI YA ULINZI

0
Na Shomari Binda-Musoma JESHI la polisi mkoani Mara limesema lipo tayari kufanya doria ya pamoja na makampuni ya ulinzi ili kuwajengea uwezo wa uimalishaji ulinzi. Kamanda...

WIZARA YA MADINI KURUSHA NDEGE YA UTAFITI GEITA

0
Kuongeza taarifa za utafiti wa kina Lengo ni kutoka 16% kufikia 100% Kutokana Wizara ya Madini kutambua mchango wa wachimbaji wadogo wa madini katika pato la...

WAZAZI NA WALEZI WATAKIWA KUWAPA NAFASI YA KUPATA ELIMU WANAFUNZI WENYE ULEMAVU

0
Na Shomari Binda-Musoma WAZAZI na walezi wametakiwa kuwapa nafasi watoto wenye changamoto ya ulemavu mbalimbali kupata elimu kuanzia msingi hadi vyuoni. Naibu Meya wa manispaa ya...

TARURA MOROGORO YAENDELEA KUZIBORESHA BARABARA

0
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Manispaa ya Morogoro inaendelea na matengenezo ya barabara ili wananchi waweze kusafiri kwa urahisi. Hayo yameelezwa na...

NMB YAZINDUA PROGRAM YA MUDA KATI (MULTICURRENCYMEDIUM TEAM NOTE MNT)

0
Na Magrethy Katengu BANKI ya NMB leo Septemba 25, imezindua rasmi Programu ya Muda wa Kati (Multicurrency Medium Term Note – MTN) yenye thamani ya...