Sunday, May 3, 2026
Home 2023

Yearly Archives: 2023

TUME YA MADINI YAJA NA MIKAKATI MIPYA YA UKUSANYAJI WA MADUHULI

0
Yapitisha maombi mapya 7596 ya leseni za madini kuanzia Julai hadi Septemba, 2023 Mhandisi Samamba awataka watanzania wengi kuwekeza kwenye Sekta ya Madini Ili kuhakikisha kuwa...

Shirika la bima (NIC) laja na neema kwa Vikundi

0
SHIRIKA la Bima (NIC) limewataka watanzania walio katika vikundi kujiunga katika mfuko unaohudumia misiba ili waweze kumudu matukio hayo yanayojitokeza kwa ghafla na kuleta...

BUKOBA DC YAJIPANGA KUHAKIKISHA WAZAZI NA WALEZI WANACHANGIA CHAKULA CHA WATOTO IPASAVYO SHULENI

0
Na Theophilida Felician, Kagera Halmashauri ya Bukoba Mkoani Kagera itaendelea kuwahimiza wazazi na walezi wa watoto kushiriki suala la kuchangia chakula cha watoto shuleni kama...

UTAFITI WA GST WAONGEZA KASI YA UKATAJI LESENI MTWARA

0
Serikali kupitia Taasisi ya Jilolojia na Utafiti wa Madini (GST) imefanya utafiti wa awali na kuainisha madini yanayopatikana katika Mkoa wa Mtwara hatua iliyosaidia...

WANANCHI KISIWA CHA RUKUBA JIMBO LA MUSOMA VIJIJINI WAANZA UJENZI WA SEKONDARI

0
Na Shomari Binda-Musoma WANANCHI wa Kisiwa cha Rukuba kilichopo kwenye jimbo la Musoma vijijini wameanza ujenzi wa shule ya sekondari ili wanafunzi waweze kusomea hapo. Kwa...

TALGWU KUUNGANA NA NCHI NYINGINE KUADHIMISHA SIKU YA MIJI DUNIANI

0
NA Mwadishi wetu KATIKA Kuadhimisha siku ya miji duniani ambayo hufanyika kila mwaka ifikapo Oktoba 31 tangu kuwnzishwa kwake 2014, Chama Cha Wafanyakazi wa Serikali...

TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD YAWAFIKIA WANANCHI KAGERA UCHUNGUZI WA SARATANI

0
Na Theophilida Felician Kagera. Taasisi ya Saratani Ocean Raod ipo Mkoani Kagera kuanzia leo Tarahe 31 Oktoba mpaka Tarehe 2 mwaka huu wa 2023 ikiendelea...

TMA YATAHADHARISHA MVUA KUBWA MIKOA YA TANGA, PWANI, DAR ES SALAAM NA VISIWA VYA...

0
Na Magrethy Katengu Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa rasmi mwelekeo wa mvua za Msimu kwa maeneo yanayopata msimu mmoja wa mvua...

UTAFITI WA VIASHIRIA VYA VVU NA UKIMWI WAKAMILIKA HUKU UKIWA NA MATOKEO CHANYA.

0
NA MWANDISHI WETU- DODOMA Imeelezwa kuwa Tanzania imepata Matokeo chanya katika Mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI na kwamba idadi ya maambukizi mapya inaendelea kupungua...

MBUNGE MATHAYO AOMBA FEDHA UBORESHAJI KITUO CHA AFYA BWERI

0
Na Shomari Binda MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Mathayo ameiomba serikali fedha kwaajili ya uboreshaji wa kituo cha afya Bweri. Maombi hayo ameyaelekeza kwenye...