Home 2023
Yearly Archives: 2023
CPC WAWEZESHA VIJANA 50 KUTAPATA MAFUNZO SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU NYERERE KIBAHA PWANI
Na Scolastica Msewa, Kibaha.CHAMA Cha Kikomunisti cha nchini China CPC kimetoa ufadhili wa mafunzo mafupi ya siku kumi kwa wanachama 50 wa Chama Cha...
KINANA AONGOZA WAOMBOLEZAJI MAZISHI YA ZELOTHE
30 Oktoba, 2023 Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Ndugu Abdulrahaman Kinana amewaongoza Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali pamoja na maelfu...
BALOZI NJALIKAI AKUTANA NA BALOZI WA KWANZA WA ALGERIA NCHINI TANZANIA
Balozi wa Tanzania Nchini Algeria Iman Njalikai leo Oktoba 30, 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Balozi Noureddine DJoudi, Rais wa Taasisi ya...
SERIKALI KUWAJENGEA UWEZO WACHIMBAJI WADOGO KUTUMIA TEKNOLOJIA YA KISASA KATIKA UCHENJUAJI MADINI – WAZIRI...
Kuachana na Matumizi ya Zebaki
Mwaka 2020 Tanzania iliuridhia Mkataba wa MINAMATA
Kuwawezesha kuchenjua kupitia CIP
Na.Samwel Mtuwa - Chunya.
Mwaka 2030 ndio mwisho wa matumizi ya kemikali...
MBUNGE ANNE KILANGO. MICHEZO INASAIDIA KUWAJENGEA VIJANA MAHUSIANO MAZURI.
Ashrack Miraji Same kilimanjaro
Mbunge wa Same jimbo la Mashariki Mhe. Anne Kilango amesema Michezo inasaidia kuwajengea vijana mahusiano mazuri katika nyanja mbalimbali ikiwemo za...
VIJANA 3095 WAMEHITIMU MAFUNZO KATIKA JESHI LA ULINZI WA WANANCHI (JWTZ) RTS KIHANGAIKO MSATA...
Na Scolastica Msewa, Msata.
Vijana 3095 waliohitimu mafunzo katika shule ya awali ya kijeshi ya Kihangaiko Msata Mkoani Pwani na kuwa Askari wapya wa jeshi...
WAZIRI MAVUNDE APOKEA CHANGAMOTO ZA WACHIMBAJI WADOGO ITUMBI
Ni ukosefu wa Mitaji , Nishati ya Umeme na Vifaa duni vya uchimbaji
Ubovu wa miundombinu ya Barabara katika migodi
Wizara ya Madini - Chunya.
Waziri wa...
Prof. KITILA AWATAKA VIJANA KUWAAMBIA UKWELI VIONGOZI WANAPOKOSEA BADALA YA KUWAPAMBA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji na Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CCM) Prof. Kitila Mkumbo amewataka vijana kuacha kuwa 'Machawa'...
KILOGRAMU 6.93 ZA DHAHABU ZAKAMATWA ZIKITOROSHWA CHUNYA
Yenye thamani ya shilingi milioni 961 za kitanzania
Takribani leseni 964 za wachimbaji wadogo zinafanya kazi
Wastani wa Kg 250 za dhahabu uzalishwa kwa mwezi wilayani...
KAMPENI YA MASTABATA YAZIDI KUSHIKA KASI, MIL. 350 KUTOLEWA KILA WIKI
BENKI ya NMB imeendelea kutangaza neema kwa wateja wake ambapo kupitia kampeni ya mpya ya Mastabata Halipoi itaweza kugawa zawadi kemkem sambamba na safari...













