Home 2023
Yearly Archives: 2023
WASHINDI 40 MTOKO WA KIBINGWA KUSHUHUDIA DERBY YA KARIAKOO; “BADO HAMJASEMAAA”
WASHINDI 40 Promosheni ya Mtoko wa Kibingwa kuitazama Derby ya Kariakoo kati Simba na Yanga itakayofanyika kesho kwenye uwanja wa Mkapa Jijini DaresSalaam.
Akizungumza na...
RC MTANDA APONGEZA USHINDI WA BIASHARA UNITED DHIDI YA MBEYA CITY
Na Shomari Binda-Musoma
MKUU wa mkoa wa Mara Said Muhamed Mtanda amepongeza ushindi wa timu ya Biashara United kwenye mchezo wa Championship.
Biashara United iliibuka na...
KAMATI YA SIASA CCM TANGA YABAINI DOSARI MIRADI YA KIMKAKATI TANGA
Na Boniface Gideon, TANGA.
KAMATI ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Tanga ikiongozwa na Mwenyekiti wake Rajab Abdurhamani imeonesha kukerwa na kitendo...
WIZARA YA MADINI, WADAU WAJADILI IKOLOJIA MAENEO YA UCHIMBAJI
Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali leo Novemba 3, 2023 ameongoza taasisi zinazofungamana katika shughuli za uchimbaji sambamba na wawekezaji ili kujadili changamoto...
PWANI WAZINDUA MNADA WA KOROSHO KWA KUUZA TANI 3854 KWA BEI YA SHILINGI 2094.46...
Na Scolastica Msewa, Kibiti.
Chama kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa mkoa wa Pwani CORECU kimezindua mnada wa korosho wa mwaka 2023/24 kwa kuuza tani...
WAZIRI MAVUNDE ABAINISHA MIKAKATI YA UTEKELEZAJI WA VISION 2030 KWA KAMATI YA BUNGE NISHATI...
Aeleza itashirikiana na Wadau wa Maendeleo
Abainisha maeneo sita ya utafiti
Na.Wizara ya Madini- Dodoma.
Waziri wa Madini Anthony Mavunde amebainisha mikakati ya namna utekelezaji wa Vision...
MKUFUNZI CHUO CHA KATOKE AWAASA WANANCHI WA BUGABO KUTILIA MKAZO SUALA LA ELIMU KWA...
Theophilida Felician Kagera.
Jamii ya mwambao wa Tarafa ya Bugabo Halmashauri ya Bukoba mkoani Kagera imehimizwa kujimudu na kutilia mkazo wa kuwapatia elimu stahiki watoto...
DKT. MWINYI ATOA NENO KUELEKEA MKUTANO WA BENKI YA DUNIA – ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,...
TANZANIA, INDONESIA ZAANZA USHIRIKIANO KWA VITENDO SEKTA YA MADINI
Bandung, Indonesia.
Wataalam wapatao 20 kutoka Wizara ya Madini na Taasisi zake wameanza rasmi mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala mbalimbali ikiwemo utafiti, usalama wa...
Mwili wa askari aliyegongwa na gari ya Shule waagwa Mwanza
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Wilbrod Mutafungwa amewaongoza mamia ya waombolezaji wakiwemo maafisa, wakaguzi, askari wa vyeo...













