Sunday, May 3, 2026
Home 2023

Yearly Archives: 2023

Waziri Dkt. Ashatu Kijaji Awahimiza Wawekezaji wa Ndani na Nje ya Nchi Kutumia Fursa...

0
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) ametoa rai kwa Watumishi wote wa Taasisi za Umma zinazohusika na utoaji wa leseni...

WAZIRI DKT. GWAJIMA ASISITIZA MAMBO MATANO AKIFUNGA MKUTANO WA MAWAZIRI WA FEDHA, JINSIA

0
Na WMJJWM, Dar Es Salaam Mawaziri wa Fedha na Mawaziri wa Jinsia barani Afrika wametakiwa kuhakikisha suala la kupambana na ukatili wa kijinsia linawekwa kwenye...

TAASISI YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE MKOA WA PWANI YASAIDIA WATOTO NJITI

0
Na Scolastica Msewa, Kibaha Tasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Mkoani Pwani kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wameadhimisha kilele cha siku ya watoto njiti kwa...

MAMA MARIAM MWINYI AKUTANA NA VIONGOZI WA TAASISI YA BIG WIN UINGEREZA.

0
Mke wa Rais wa Zanzibar , Msarifu na Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mariam Mwinyi ameendelea na ziara yake...

TBS YATOA VYETI NA LESENI ZA UBORA 145 KWA WAJASIRIAMALI NA WAZALISHAJI WA BIDHAA

0
 Na Mwandishi Wetu. SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetoa vyeti na leseni 145 kwa wazalishaji ambao bidhaa zao zimethibitishwa kukidhi matakwa ya Viwango kwa kipindi...

SERIKALI YAPONGEZA KAMPENI YA UPANDAJI MITI YA SHIRIKA LA Vi-AGROFORESTRY

0
Na Shomari Binda-Musoma SERIKALI imepongeza kampeni ya upandaji miti inayoendeshwa na shirika la Vi-Agrofotestry katika kupambana na uhifadhi wa mazingira. Pongezi hizo zimetolewa na Katibu Tawala...

MBUGE DKT DAVID MATHAYO AMUUNGA MKONO MHE RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSANI KWENYE SEKTA...

0
Ashrack Miraji Same kilimanjaro Mbunge wa Same Magharibi DKT David Mathayo amesema Michezo inawajenga vijana kuwa na...

TANZANIA YATOA WITO KWA MATAIFA TAJIRI DUNIANI

0
Yataka yasaidie kukuza uchumi wa nchi zinazoendelea SERIKALI imezitaka Jumuiya za Kimataifa zisaidie kukuza uchumi wa nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania ili kupanua wigo wa ushiriki...

REA YAANZA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA NAIBU WAZIRI MKUU KUFIKISHA HUDUMA YA UMEME MTWARA

0
KUPELEKA WAKANDARASI KUFANYA TATHIMINI MADIMBA NA MSIMBATI KABLA YA UTEKELEZAJI Na Veronica Simba, Mtwara WAKALA wa Nishaji Vijijini (REA) umeanza utekelezaji wa maagizo ya Naibu Waziri...

ZAIDI YA KAMPUNI 22 ZAKUTANA KUJADILI BIASHARA YA HEWA UKAA BILA KUATHIRI MAZINGIRA

0
Na Magrethy Katengu Tanzania ni miongoni mwa nchi Mdau Duniani nayokabiliana na Mabadiliko ya tabia nchi kupitia Wizara husika ya Utalii na Maliasili pamoja kwa...