Home 2023
Yearly Archives: 2023
VIJANA SAIDIENI AFRIKA KUONDOKANA NA UCHUMI TEGEMEZI – PROFESA MKUMBO
Na Scolastica Msewa, KibahaWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amewataka vijana wanaoibukia katika nafasi za uongozi nchini, kujadili...
RAIS DKT. SAMIA ATAKA MIKAKATI ENDELEVU YA KUWAWEZESHA WANAWAKE KIBIASHARA
MHESHIMIWA Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka washiriki wa kongamano Pili la Wanawake katika Biashara ndani ya Eneo Huru la Biashara Barani Afrika kujadili...
CHALAMILA AWAKARIBISHA WAGENI KATIKA KONGAMANO LA AFCFTA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaaam, Albert Chalamila amewakaribisha wageni kutoka nje ya nchi katika kongamano la Afcfta la wanawake katika Biashara 2023...
RAIS DK.MWINYI AKUTANA NA BALOZI WA QATAR NCHINI TANZANIA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Balozi wa Qatar nchini Tanzania, Mhe.Fahad Rashid S Ali Marekhi...
DR KIJAJI AWAHASA FCC NA WAFANYABIASHARA KATIKA KUHITIMISHA SIKU YA USHINDANI DUNIANI
Katika kuhitimisha siku ya ushindani Duniani iliyoenda sambamba na kaulimbiu isemayo 'Njama baina ya washindani na madhara yake', Waziri wa Viwanda na Biashara, Daktari...
KLM Royal Dutch Airlines Yadhamini Mashindano ya Uzinduzi wa Kombe la McEnroe Serengeti ili...
> Mashindano ya tenisi yatafanyika katikati mwa Serengeti kuanzia Novemba 29 hadi Desemba 8, 2023.
> Mashindano hayo yameandaliwa na ndugu maarufu wa McEnroe na KLM Royal...
MITAMBO ILIYOZINDULIWA NA RAIS DKT. SAMIA YAANZA UCHOROGAJI NYAMONGO
Kwa mara ya Kwanza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limefanya uchorongaji katika maeneo yanayomilikiwa na Wachimbaji wadogo kwa kutumia Mitambo ya Uchorongaji Maalum...
MBUNGE GHATI CHOMETE KUONGOZA HARAMBEE UKAMILISHAJI UJENZI ZAHANATI YA MKOMA
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa viti maalum mkoa wa Mara Ghati Chomete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ujenzi wa zahanati ya Kata ya Mkoma wilayani...
UHAKIKI SAHIHI WA MALORI YA MATANKI YA MAFUTA NA GASI KWA WAKALA WA VIPIMO...
NA Scolastica Msewa, Kibaha
Meneja wa kituo cha Uhakiki wa Vipimo Misugusugu Charles Mavunde amesema uhakiki wa matanki ya Malori ya kubebea vimiminika husaidia kurahisisha...
MPANGO WA MALEZI MAKUZI NA MAENDELEO YA MTOTO” MMMAM” WAZINDULIWA MANISPAA YA MUSOMA
Na Shomari Binda-Musoma
HALMASHAURI ya manispaa ya Musoma imepokea na kuzindua mpango jumuishi wa taifa wa malezi,makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto( PJT-MMMAM) wa...













