Na Magrethy Katengu
Mamlaka ya hali ya Hewa TMA imetoa utabiri wa hali ya hewa unaonyesha Upepo wa Pwani unafikia Kilometa 30 kwa saa huku kukiwa na Mawimbi makubwa .
Pia Utabiri huo unaonyesha Vipindi hivyo vinatarajiwa katika baadhi ya Maeneo ukanda wa Pwani ya Kaskazini na Kaskazini Pwani ya Kusini
Hali ya Bahari ya inatarajiwa kuwa na Mawimbi kiasi ambapo viwango vya JOTO, Mawio,na Machweo katika baadhi ya Mikoa ikiwemo Arusha Zanzibari,Tabora,Kigoma,Mbeya,
Dar es salaam,
Aidha Matarajio kwa siku ya Alhamisi ya tarehe 09/3/2023 kutakuwa na mabadiliko kidogo








