Home 2026
Yearly Archives: 2026
SERIKALI KUCHUKUA HATUA ZA KINIDHAMU KWA WAAJIRI WOTE WASIOZINGATIA SHERIA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete, akizungumza na watumishi wa Tume ya Utumishi...
WADAU WA BIASHARA SHINYANGA WAPONGEZA JITIHADA ZA BARAZA LA USHINDANI
Mwakilishi wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Bw. David Lyamongi,akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya ushindani wa kibiashara wadau...
USHINDANI WA HAKI WACHOCHEA UBUNIFU SOKONI
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, amesema Tume ya Ushindani (FCC) iendelee na majukumu ya kusimamia ushindani katika kujenga imani ya walaji, kwani...
WADAU WA BIASHARA WAELIMISHWA NAMNA YA KUPATA HAKI KUPITIA BARAZA LA USHINDANI
Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Bw. Balandya Elikana,akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara jijini Mwanza,ili kuwaongezea uelewa kuhusu masuala ya ushindani...
RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUPUNGUZA UHABA WA WATUMISHI HANDENI MJI
Mwenyekiti wa halmashauri ya Mji Handeni, Amiri Mwaliko,akizungumza katika mkutano wa kupokea na kujadili taarifa za kata za Halmashauri ya Mji Handeni uliofanyika leo...
NAIBU WAZIRI KWAGILWA: TAASISI ZINAZOHUDUMIA WANANCHI ZIWASILISHE TAARIFA ZAKE BARAZA LA MADIWANI
Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Reuben Kwagilwa,akizungumza katika mkutano wa kupokea na kujadili...
BILIONI 91 KUSAMBAZA UMEME KWENYE VITONGOJI 570 VYA MKOA WA MOROGORO
Na.Mwandishi Wetu-Morogoro
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam Malima, tarehe 6 Februari, 2026 amewapokea wakandarasi wawili kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA); watakaotekeleza Mradi...
RC SENDIGA:UMEME VITONGOJINI KUINUA UCHUMI WA WANANCHI
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa umeme kwenye vitongoji ni chachu ya kuinua uchumi wa wananchi...
RAIS DKT SAMIA KUZINDUA SOKO LA KARIAKOO FEBRUARI 08, 2026
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzindua soko la Kariakoo Februari 8, 2026 ambalo lilikuwa kwenye ukarabati baada...
WATANZANIA ZAIDI YA 1000 KUNUFAIKA NA AJIRA ZA KIWANDA CHA AFRIPORT APPAREL LIMITED
Sekta ya Viwanda nchini Tanzania imeendelea kutoa majawabu ya fursa za ajira. Hii ni kutokana na nia ya Serikali ya kuendelea kuboresha mazingira ya...













