TBS WATOA UJUMBE HUU KWA JAMII , MAADHIMISHO YA SIKU YA CHAKULA SALAMA DUNIANI...
Na Mwandishi Wetu.
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wadau wa mnyororo wa thamani wa chakula kuanzia wakulima shambani, viwandani, wafanyabiashara hadi watumiaji wa mwisho...




