Home 2023
Yearly Archives: 2023
DAWASA KUTUMIA BILLION 424 KUTEKELEZA MIRADI 7 YA HUDUMA YA MAJISAFI
MAMLAKA ya Maji safi na usafi wa Mazingira Dar es-Salaam (DAWASA) imejipanga kuendelea kuboresha upatikanaji wa huduma ya majisafi kupitia utekelezaji wa miradi ya...
NMB YATOA ELIMU YA FEDHA KWA WALIMU MSINGI/SEKONDARI
Na Boniface Gideon, TANGA.
BENKI ya NMB imeendelea kuboresha huduma zake kwa wadau wakiwemo walimu wa shule za msingi na sekondari ambapo imekuja na huduma...
HOSPITALI ZOTE NCHINI KUWA NA WODI MAALUM ZA UANGALIZI WA WATOTO NJITI
Na. WAF - Dar es SalaamSerikali kupitia Wizara ya Afya inafanya juhudi za kuhakikisha Hospitali zote Nchini zinakua na wodi maalum za uangalizi wa...
IGP CAMILIUS WAMBURA ATOA ONYO KALI KWA WANAOTISHIA KUIANGUSHA SERIKALI YA AWAMU YA SITA...
Na Magrethy Katengu
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camilius Wambura ametoa onyo kali kwa kundi la watu waliosambaza taarifa kuwa wanaandaa maandamano nchi nzima...
WAANDISHI CHIPKIZI KUNOLEWA NA KAMPUNI YA PODIUM
Na Magrethy Katengu
Katika kukuza sekta ya habari hapa nchini Kampuni ya Podium inayojihusisha na masuala ya Habari, Mawasiliano na Utafiti imeandaa mijadala ya kila...
DKT. KIJAJI AWATAKA WAKULIMA KUONGEZA UZALISHAJI WA MIWA
Wakulima wa miwa wametakiwa kuendelea kulima miwa kwa wingi kwani soko la miwa limekuwa kubwa kutokana na ongezeko la viwanda vya sukari nchini.
hayo yamesemwa...
MUHIMBILI MBIONI KUANZA KUTOA HUDUMA ZA UPANDIKIZAJI MIMBA
Na WAF, Dodoma.
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili iko mbioni kuanza kutoa huduma za upandikizaji mimba kwa mashine maalum (IVF - In vitro Fertilization)
Hayo yamesemwa...
Kigahe Azitaka Taasisi za Umma kutoa huduma kwa wafanyabiashara kwa weledi na uadilifu
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe ameziagiza Taasisi za Umma kuendelea kutoa huduma kwa wafanyabiashara kwa weledi na uadilifu ili kutimiza...
Jeshi la Polisi litaendelea kushirikisha Jamii kutokomeza uhalifu Nchini.
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi-Tanga
Jeshi la Polisi limesema litaendelea kushirikisha Jamii katika kupambana na uhalifu katika maeneo mabalimbali hapa Nchini huku likipongeza...
MGORE AWAHUSIA MAADILI MAZURI VIJANA WA CCM MUSOMA MJINI
Na Shomari Binda-Musoma
MJUMBE wa Kamati ya Utekelezaji Taifa ya Jumuiya ya Wazazi Mgore Miraji amewahusia vijana was Chama cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Musoma...













