Home 2023
Yearly Archives: 2023
GLOBAL LINK YANUFAIKA NA ZIARA ZA RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSANI KWENDA NJE YA...
Na Magrethy Katengu
Taasisi ya Global Education link (GEL)imesema kuwa imenifaika na Ziara za nje ya nchi za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani serikali...
Shule ya Sekondari Bidii jijini Mwanza yang’ara ufundishaji Bora Mwaka 2023
Akizungumza kwenye Mahafari ya 10, yaliyofanyika hii Shuleni hapo Mkuu huyo amesema, wamehitimu watoto 163, wasichana ni 87 Wavulana 76 Kaimu Mkuu wa Shule...
Bodaboda apongezwa kwa kufuata sheria za Usalama barabarani
Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani wilaya ya Magu Mkoani Mwanza, Mkaguzi wa Jeshi la Polisi (Insp) Hosiana Mushi, Octoba 6, 2023 akitoa elimu...
MUWASA YAKUTANA NA WATEJA NA KUTOA ELIMU KILELE WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
Na Shomari Binda-Musoma
MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Musoma (MUWASA) imekutana na wateja na kutoa elimu ikiwa ni kilele cha wiki ya...
BRELA NA TIRDO WAKUTANA KUJADILI MFUMO WA TAKWIMU ZA VIWANDA
Menejimenti ya Wakala Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), imekutana na Wataalamu kutoka Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Viwanda (TIRDO), kujadili kuhusu uanzishwaji...
KATIBU MKUU KIONGOZI AIPONGEZA OFISI YA WAZIRI MKUU KWA USIMAMIZI MZURI WA UJENZI WA...
NA; MWANDISHI WETU DODOMA.
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka ameipongeza Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Uratibu na Usimamizi mzuri wa Ujenzi wa...
MBUNGE MATHAYO ATOA EKARI 204 KWA WANANCHI KWAAJILI YA MAKAZI NA KILIMO
NA Shomari Binda-Butiama
MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Mathayo ametoa ekari 204 kwaajili ya makazi na kilimo.
Ekari hizo amezitoa kwa wananchi wa Kitongoji...
MUWASA KUITUMIA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KURUDISHA MAJI KWA WALIOSITISHIWA BILA FAINI
Na Shomari Binda-Musoma
MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Musoma (MUWASA) inaitumia wiki ya Huduma kwa wateja kurudisha huduma ya maji kwa waliositishiwa...
RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSANI ANATARAJIWA KUFANYA ZIARA NCHINI INDIA
Na Magrethy Katengu
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani anatarajiwa kufanya ziara ya Kitaifa ncgi India Octoba 8hadi 11 Mwaka...
NYERERE DAY TWENDE MATEMBEZI KAZIMZUMBWI
Na Magrethy Katengu
Ikiwa imesalia siku kadhaa kufanyika siku maalumu ya kumbukidhi ya kifo cha aliyekuwa Raiis wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwalimu...













