Home 2023
Yearly Archives: 2023
TIGO KUDHAMINI BONANZA LA NYERERE DAY MUSOMA MJINI, WADAU WENGINE WAITWA
Na Shomari Binda-Musoma
KAMPUNI ya mtandao wa simu ya mkononi ya Tigo mkoa wa Mara imedhamini sehemu ya kufanikisha bonanza la michezo ya Nyerere Day.
Bonanza...
MBUNGE IDDI AWATAKA WAUMINI WA KISLAMU KUWA WAMOJA NA KUWA NA MSHIKAMANO.
Na Joel Maduka, Msalala.
Mbunge wa Jimbo la Msalala Iddi Kassim Iddi,amewataka waumini wa dini ya Kiislamu kuwa wamoja na kushikamana kwa nia ya kudumisha...
BRELA WASHIRIKI MAONYESHO YA VIWANDA JIJINI DAR ES SALAAM
Na Magrethy Katengu
Wakala wa Usajili leseni za biashara Brela imesema wmwitikio wa watu kusajili kampuni na biashara zao katika maonyesho viwanda yaliyoandaliwa na Shirikisho...
SOKOMBI AWAOMBA WADAU KUTHAMINI MCHANGO WA WAANDISHI WA HABARI
Na Shomari Binda-TARIME
WADAU na wananchi wametakiwa kuthamini mchango wa Waandishi wa Habari kwa kazi wanazofanya za ufikishaji wa taarifa.
Kauli hiyo imetolewa na mlezi wa...
WACHEZAJI BOMBOKA FC WAKABIDHIWA BIMA ZA AFYA C.H.F
Na Boniface Gideon, TANGA
Wachezaji 25 wa Timu ya mpira wa miguu 'Bomboka Fc ' inayoshiriki ligi ya Mkoa wa Tanga,Leo wamekabidhiwa Bima za Afya....
WAWEKEZAJI WAFUNGULIWA FURSA YA UTALII KANDA YA KUSINI MWA TANZANIA
WATALII Na wawekezaji sekta ya Utalii waaswa kuwekeza katika utalii wa Kanda za nyanda za kusini ili kuweza kutangaza vivutio vilivyopo mikoa ya kusini...
RC MTANDA AWAPA NENO MAKOCHA BIASHARA UNITED WAKIIFUNGA STEND UNITED 1-0
Na Shomari Binda-Musoma
MKUU wa mkoa wa Mara Said Muhamed Mtanda amelishauri benchi la ufundi la Biashara United kuongeza kasi ya kunoa safu ya ushambuliaji...
MBUNGE AGNESS AWAFIKISHA VIONGOZI UWT MUSOMA MJINI NYUMBANI KWA RAIS SAMIA KIZIMKAZI ZANZIBAR
Na Shomari Binda
MBUNGE wa viti maalum mkoa wa Mara Agness Marwa ameendelea kutekeleza ahadi yake ya kuwafikisha viongozi wa UWT mkoa wa Mara visiwani...
TCB YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
Na Ashrack Miraji
Kwa kutambua jukumu muhimu linalofanywa na maofisa wa huduma kwa wateja na mawakala wake, Benki ya Tanzania Commercial Bank TCB imezindua Wiki...
MATHAYO AELEZEA UMUHIMU WA ELIMU KWA WAHITIMU KAMNYONGE SEKONDARI, AWAAHIDI “PRINTER NA PHOTOCOPY”
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini Vedastus Mathayo amewahimiza wahitimu wa kidato cha nne shule ya sekondari Kamnyonge kuipa umuhimu elimu kwa...













