Home 2023
Yearly Archives: 2023
Dkt. Kijaji Aridhishwa na Kongani ya Viwanda (SINO TAN) Kwala
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan inaunga mkono jitihada zinazofanywa na...
Wanawake wafanyabiashara watakiwa kushiriki Kongamano la Wanawake la AfCFTA 2023
Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zenna Ahmed Said, ametoa wito kwa wanawake wote wanaojihusisha na biashara kushiriki Kongamano la Pili...
UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM JIMBO LA MUSOMA MJINI UTAWABEBA WENYEVITI WA MITAA UCHAGUZI...
Na Shomari Binda-Musoma
UTEKELEZAJI wa ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ( CCM) ya mwaka 2020 hadi 2025 kwenye jimbo la Musoma mjini imetajwa...
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA KWENYE TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA BIBI TITI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 03, 2023 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Tamasha ‘BibiTiti Festival’ linalofanyika katika viwanja vya Ujamaa, Ikwiriri...
MHE. MCHENGERWA AMEWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA DARAJA LA BIBI TITI
Mwandishi wetu, Rufiji
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa ameweka jiwe la msingi katika ujenzi...
TAMRISO YATANGAZA TENDA KWA MAWAKALA KUKUSANYA MAPATO YA KAZI ZA MUZIKI
KAMPUNI ya kuuza leseni ya matumizi ya muziki na kugawa mirabaha (Tamriso) imetangaza tenda kwa mawakala kuomba kibali kwa ajili ya kupata leseni ya...
BYABATO AONGEZA NGUVU KUINUA MIRADI YA UFUGAJI WA SAMAKI
Na Theophilida Felician, Kagera
Mbunge wa jimbo la Bukoba mjini na Naibu wa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe Stephen...
HALMASHAURI YA MUSOMA VIJIJINI YAJIPANGA KUMALIZA MIGOGORO YA ARDHI
Na Shomari Binda-Musoma
HALMASHAURI ya Wilaya ya Musoma vijijini imejipanga kutatua na kumaliza migogoro ya ardhi iliyopo inayochangia kurudisha nyuma maendeleo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi...
KLINIKI YA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI KUANZA KESHO MUSOMA VIJIJINI
Na Shomari Binda-Musoma
KLINIKI ya utatuzi na kusikiliza kero za migogoro ya ardhi kwa mkoa wa Mara itaendelea kusikilizwa kesho Musoma vijijini.
Huu ni muendelezo baada...
WANAWAKE WATAKIWA KUSEMEA MAZURI YANAYOFANYWA NA RAIS SAMIA
Na Shomari Binda-Serengeti
WANAWAKE wametakiwa kusemea kazi nzuri inayofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuwahudumia wananchi hususani kwenye huduma za kijamii.
Kauli hiyo imetolewa...













