Home 2023
Yearly Archives: 2023
LENGO LA SERIKALI YA AWAMU YA SITA NI KUWEKA MAZINGIRA MAZURI NA WEZESHI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt Hashil Abdallah amesema lengo la Serikali ya awamu ya Sita ni kuweka mazingira mazuri na...
UREJESHAJI WA MIUNDOMBINU YA BARABARA KATIKA MJI WA KATESH WAFIKIA ASILIMIA 75
NA. MWANDISHI WETU
Naibu Waziri wa Ujenzi, Eng. Godfrey Kasekenya amesema hadi sasa urejeshaji wa miundombinu ya barabara na makalvati iliyokuwa imeharibiwa na maporomoko ya...
UDSM YAMWAGA WASAIKOLOJIA HANANG KUHUDUMIA WAATHIRIKA WA MAAFA HANANGNA. MWANDISHI WETU
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimetoa wataalamu watano wa masuala ya Saikolojia ambao wataungana na wataalamu wengine ambao wanaendelea kutoa huduma katika...
Tawi jipya la Tigo shop lazinduliwa Buswelu
Na Neema Kandoro Mwanza
Tawi jipya la kutoa huduma za tigo katika Kata ya Buswelu limezinduliwa kwa lengo la kusogeza huduma ya kukopesha simu janja.
Akizungumza...
WANAWAKE VIJANA VIONGOZI KUTOKA NCHI ZAIDI YA 20 ZA BARA LA AFRIKA WAMEKUTANA KIBAHA...
Na Scolastica Msewa, Kibaha.Katibu Mtendaji wa kanda ya Afrika Mashariki wa Pan African Women Organization PAWO Dkt. Suzan Kolimba amewataka Wanawake wenye sifa za...
VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA AJIRA KIWANDA KIPYA CHA KUUNGANISHA MAGARI
Waziri wa Vjwanda na Biashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji(Mb) ametoa rai kwa vijana wa Tanzania kuendelea kujielimisha na kupata ujuzi mbalimbali ili kuwa tayari...
WAZALISHAJI WA SARUJI WATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA SARUJI YENYE UBORA KWA WINGI
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amesema lengo la Serikali ya Awamu ya Sita nikuona Viwanda vya Saruji nchini vinazalisha...
JINSI KIJANA WA SIMIYU ALIVYOSHINDA MILIONI TANO ZA MAGIFTI DABO DABO
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Joseph Mutalemwa(kushoto) akizungumza na mshindi wa Magifti Dabodabo Shilingi milioni tano mkazi wa Kidinda mkoa Simiyu Robin Brasio,...
WASHINDI WA MAGIFTI DABO DABO SAFARI YA ZANZIBAR WALIVYOSINDIKIZWA KIFALME
Dar es Salaam, 10 Desemba 2023: Washindi wa Kampeni ya Magifti Dabodabo inayoendeshwa na Kampuni ya Mtandao wa simu za mkononi ya Tigo jana...
SERIKALI YAWAKARIBISHA WANANCHI KUWASILISHA CHANGAMOTO ZINAZOHUSIANA NA KODI
Na. Scola Malinga na Saidina Msangi, WF, Dar Es Salaam.
Ofisi ya Msuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), imekaribisha wananchi wenye changamoto zinazohusiana...













