NATURALLY OCCURRING GASES AND ACCELERATED ECONOMIC GROWTHS OF NATIONS
By Shomari Binda
There are many types of naturally occurring gases on the planet Earth. Thus, this planet, which is approximately 4.5 billion years old,...
UVINZA YAFIKIWA NA ELIMU YA KUKABILIANA NA MAAFA
Na. MWANDISHI WETU
Wananchi wa Wilaya ya Uvinza wamejengewa uwezo juu ya masuala ya menejimenti ya maafa nchini huku wakikumbushwa kujiandaa na kukabiliana na athari...
JITIHADA ZA KUPAMBANA NA MALARIA ZAENDELEA KWA I UGAWAJI VYANDARUA SHULE ZA MSINGI
Na Magrethy Katengu
Mkuu wa Mkoa Alber Chalamila amaelekeza wataaam wote wa sekta ya afya na wadau kuhakikisha wanaendelea na dhamira ya kugawa vyandarua lakini...
TUPINGE UKATILI WA JINSIA WADAU WA MICHEZO WAPEWA WITO
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri wa Michezo,Sanaa na Utamaduni Hamis Mwinyijuma(Mwana FA) ameziomba Timu za Mpira Nchini kuungana kuisaidia jamii katika mambo mbalimbali kukemea vikali...
TBS ELIMU KWA UMMA YAACHA TABASAMU MTWARA
.
Afisa Usalama wa Chakula TBS Bwn. Barnabas Jacob na Afisa Masoko Mussa Luhombero ( aliyevaa Tisheti Nyekundu picha ya Kwanza ) wakitoa elimu ya...
Elimu ya uvuvi salama kuzuia uhalifu ndani ya Ziwa Victoria
Hali ya ulinzi na usalama ndani ya Ziwa Victoria imeimarika kutoka na tathmini zilizofanyika kupitia vikao vitano vilivyohusisha Maofisa wa Jeshi la Polisi, maafisa...
TBS WAONDOA UTATA KUHUSU UFUNGAJI WA MFUMO WA GESI KWENYE MAGARI ” NI SALAMA”
Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limewataka wauzaji wa gesi asilia kwa ajili ya matumizi ya magari, pamoja na wafungaji wa mifumo na vifaa vinavyohusika...
MWENYEKITI WA BODI YA KOROSHO KUANZISHA SHAMBA DARASA LA ZAO LA KOROSHO KIMANGE SEKONDARI
Na Scolastica Msewa, Chalinze.
Mwenyekiti Wa Bodi ya korosho Tanzania Brigadia General Mstaafu Aloyce Mwanjile amesema anampango wa kuanzisha shamba darasa la korosho katika Shule...
DC HAULE AWATAKA WANANCHI KUCHANGAMKIA ZOEZI LA UPIMAJI ARDHI NA KUPATA HATI
Na Shomari Binda-Musoma
MKUU wa Wilaya ya Musoma Dkt. Khalfan Haule amewataka wananchi kuchangamkia zoezi la upimaji wa ardhi na kupata hati za umiliki.
Kauli hiyo...
TIMU 8 ZAFUZU ROBO FAINALI MASHINDANO YA ESTER BULAYA CUP 2023
Na Shomari Binda-Bunda
TIMU 8 zimefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali ya mashindano ya Ester Bulaya Cup 2023 yanayoendelea mjini Bunda.
Mashindano hayo yaliyoanza mwishoni mwa.mwezi...













