PROF.MUHONGO AZITEMBELEA NA KUZIFARIJI FAMILIA ZILIZOATHIRIKA NA MVUA KATA YA ETARO
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma vijijini Profesa Sospeter Muhongo amezitembelea familia za kaya 15 zilizoathirika na mvua Kata ya Etaro.
Familia zilizoathirika zaidi...
RAIS DKT.MWINYI ASHUHUDIA KARAFUU ZA MAGENDO BANDARINI WETE.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi ametembelea Bandari ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba katika ziara ya kushtukiza...
DKT. BITEKO: SERIKALI ITAENDELEA KUWA SIKIVU KUSIKILIZA MAONI YA WANANCHI ILI KUSTAWISHA DEMOKRASIA NCHINI
Na Magrethy Katengu
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuwa sikivu kusikiliza maoni yote yanayotolewa na wananchi...






