MWENYEKITI WA CCM PWANI ATAKA STAHA KUWAONYA VIONGOZI WA SERIKALI WAKIKOSEA JAMBO
•VIONGOZI WA SERIKALI WASIUMBULIWE HADHARANI - MLAO
Na Scolastica Msewa, Kibaha
Mwenyekiti wa CCM Mkoani Pwani Mwinyishehe Mlao amewataka Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Mkoa...
SERIKALI ITAENDELEA KUWASILISHA TAARIFA KUHUSU UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA MUUNGANO
Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema itaendelea kuwasilisha taarifa kuhusu utatuzi wa changamoto za Muungano unaofanyika kupitia vikao baina ya Serikali zote...
RC MTANDA AWAKUMBUSHA WALIMU KUJIANDAA KABLA YA KUSTAFU UTUMISHI WA UMMA
Na Shomari Binda-Musoma
MKUU wa mkoa wa Mara Said Muhamed Mtanda amewakumbusha walimu wanaotarajiwa kustafu kujiandaa kabla ya kuachana na utumishi wa umma.
Akizungumza na walimu...
TANZANIA KUENDELEA KUFANYA TATHMINI YA HIARI KATIKA UTAYARI WA KUKABILIANA NA MAJANGA
NA. MWANDISHI WETU
Imeelezwa kuwa Serikali itaendelea kufanya tathmini ya hiari dhidi ya utayari wake katika kukabiliana na majanga hasa milipuko ya magonjwa hivyo tathmini...
VIJANA WA CCM NA UWT WAMETAKIWA KUENDELEZA AMANI NA MSHIKAMANO ULIOPO KATI YA TANZANIA...
Na Scolastica Msewa, KibahaKatibu wa Nec Siasa na uhusiano wa kimataifa SUKI Rabia Abdallah Hamid amewataka vijana viongozi wa CCM kuendeleza amani maelewano na...








